HUYU NDIO ALIO MVUNJA PACOME ZOZUA NA KUMSABABUSHIA MAJELAA
ADVERTISEMENT
Comments 16
daniel_garcia:
Jamani me niyanga ila tusikae kumhuku uyu kaka sio kusudi l…
More Like This
0:12
Antrenmanda Bizim Şansızlık 😀🏐 #volleyball #voleybol
Sports
39.9k
60
0:13
A'ja Wilson on blocking Angel Reese's shot unexpectedly 😭
Sports
7.7k
100
0:16
Messi 😂 #messi #worldcup #football #ai
Sports
2.5k
53
34:21
MKAI: YANGA HAINA PESA YA KUMSAJILI GIRUMUGISHA, NASUBIRI KUMUONA JUSTICE UWANJANI
Sports
132
0
13:12
JULIO ACHAFUKWA MSIMU HUU SIMBA LAZIMA AWE BINGWA KWA NJIA YOYOTE/NI AIBU KUKOSA UBINGWA MARA 5
Sports
91
28
18:14
🚨KABWE,APAGAWA BALAA LA IBRAHIM DOMBIA NI VICTOR OSIMHNE MTUPU
Sports
162
12
0:38
Vini Jr asks for Declan Rice's shirt 👀
Sports
3.6k
37
0:20
Ronaldo's Lashes Are Too Long 😭✂️
Sports
2.3k
4
You've reached the end
Jamani me niyanga ila tusikae kumhuku uyu kaka sio kusudi lake kiweri yeye mwenyewe anaonekana ameumia sana ila binadamu tulivyo sasa tunamawazo ya tofauti sana mungu atusaidie pacome atakua sawa kwa uwezo wa mungu inshallaa
Hakuna cha maksudi video zinaonesha vema alikuwa anawania mpira kijana , wa jkt kwani Leo imekuwa ajabu kutumia mchezaji uwanjani,? Au kwasababu ameumia mchezaji wa yanga? Ni wachezaji wangapi wameumia uwanjani Hadi msimu unaisha hawajaonekana uwanjani, piga KAZI kijana
Pole.umeishasamehewa
Mungu yupo atapona tu
Huyu ndio beki kisiki mungu akuzidishie na kazi yako
Ni kweli ukiitazama vizuri bila ushabiki hakuna nia ovu hapo hata kadi ilipaswa iwe njano.
Haikua rafu ya kukusudia
Pole kwa yaliyokukuta mungu yupo nawe utashinda
Oh Naaam Pole san Jickie ni mamb ya kawaid Mana ndo mpra Ulivo ivo ivo Atapon Mungu Atamsaidia zaid 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽
Tekysamehe mwaya
Ilikuwa bahati mbaya tu pacom atapona mungu amsaidie
Nikweri yanatoke t
Hio ni Dua ya mchome na shetani wa yanga mungu kaamua kuwajibu walimwombea chama lakini
Hakumvunja bwana, uyo Mzee kakome alianguka mchezon
Kuomba LAZI/RADHI
Asilaumiwe ni bahati mbaya mchezon na ukweli angekuwa amakutana ma kika kama alan okelo asingeumia sana angeangu ma kuinuka ma kuendelea na mech sema mtu akishafikisha 30 kesi kama izo hukwep Mungi tu amponye ma ampe amam huyu kaka wa jkt