NAKUJA Ni hadithi nzuli yenye kusisimua inohusu maisha ya kweli wanayopitia binadamu watu wengi Hua wanaamini wanachokiamini ilimradi wapate cheo wapo tayali kupoteza ndugu rafiki kwa sababu ya tamaa sasa basi fuatilia hadithi hi nzuli utajua maisha halisi ya wanadamu nyuma ya pazia [ Tanu Brand Burudani kwa wote ]
ADVERTISEMENT
10:24 Tunao frahi Tanu kutoa kila siku like tukisonga🎉🎉
Nimefurahi nilo kufika kwa mzee tanu😅😂
Mr Tanu we kiboko yani kila siku unatoa episode congratulations from kenya
Jamani tanu anajua kutufurahisha anatoa kazi kwa wakati nanyii wasanii wengine muige mfano wake na mungu awabariki saana
Waliofurahi Nilo kuonana na Mzee Tanu gonga like
Baba Angu tanu kama utakua unatoa kazi kama hivi basi tutakusapot kwa nguvu zote kazi nzuri mzee bandika bandua hamna kupoa
Mr tanu utatuua kwa raha jaman😂😂 kazi nzur sana 🎉🎉
Wangap tunafrahia tanu kutoa Kila siku na kwa wakat
Wq kwanza leoooo oyooooo wap like zangu
Tulokuja mbio baada ya kusikia notification tujuane hapa kwa like😘😘😘😘😅
Waliofurahi Nilo kufika Kwa Tanu tujuwane..
Oya we Mimi sitaki like ata moja
Mashaallah hii muvi inatoka kila siku tusema alhamdulillah kwa allah mzee tanu amfanyie wepesi inshaallah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ambao tume umiya mwili wamamake nilo kuzikwa tujuwane
Tanu anapeleka kazi ipaswavyo
Sijapenda vile Nilo amefika Kwa mzee tanu asaidike kumbe mjomba ashaazika 😢😢😢
Kweli mwenye upanga kaja leo nilo sasa tatizo lako limekaa pabaya ila .mwamba kabisa mr tanu respect sana pamoja na wafuasi wako wote walio shiriki mungu awape maisha marefu 🙏🙏🙏
Unamuota mtu halafu anakutokea mbele dah ,, Mmmh mama kabichi 😢😢, mamae nipige nikupge, ,loooo amechelewa masikin😢😢😢😢😢
Tunao angalia "NAKUJA" kwa bando la 500 kila siku tujuwane kwa like
Safi sana nilo kufika kwa Mzee tanu maua kwako🎉🎉🎉🎉