Mnaimba kwa kujilazimisha kinafiki tuu mnajulikana hako ka redio kenu wote ni simba isipo kuwa Hance
C
colleen_woodard3 weeks, 5 days ago
Inshallah mungu atamfanyia wepesi pacome zouzou
J
johnaura453 weeks, 5 days ago
Mungu amusaidie pacome
hannahrichardson8563 weeks, 5 days ago
Nimefurahi sana Jemedari amerudi Tena kwenye show
A
adán.cuellar3 weeks, 5 days ago
jamal upo sahiihi kabsa simba wajilaumu wenyewe viongozi wajithimini kama wanafaa kuiongoza simba 😊
advika_tara3 weeks, 5 days ago
Duh! Jemedari leo amepiga spana za nguvu leo! Simba sc jipangeni, acheni kulia lia!
M
meganseraph653 weeks, 5 days ago
Simba wao waendelee kujenga timu sisi wananchi tunaendelea kubeba makombe ya ubingwa,Imagine timu imeshuka daraja lakini inawatoa povu,nawatakia ushindi mono azam fc kombe la FA
L
laurie.morgan3 weeks, 5 days ago
Naomba sheria 17 za mpira na subsection vidogo vidogo vifanyiwe marekebisho,adhabu kali itolewe kwa makosa ya makusudi kama la jana la kutuumizia professor Pacome, pacome ni mchezaji anayecheza kwa makini sana,kumfanyia unyama kama huu inauma sana,red kadi peke.yake na kumfungia mfanya kosa haitoshi iende sambamba na kumkata shs 5,000,000 kutoka kwenye mshahara wake ili iwe fundisho kwa wengine,imagine unampa mwenzako kilema cha maisha kwa makusudi,familia yake utilea wewe?
M
martin_hayes3 weeks, 5 days ago
Geof Lea hata kama wewe ni Simba huwezi kua kipofu hivyo. Mechi ya Zanzibar Dube hakua offside, Mechi ya Singida na Simba , Simba goli la pili lilikua offside matokeo yalipaswa kua 1-1 lkn Singida wakaonewa. Azam vs Yanga Dube alilimwa ndani ya penalty area hakukua na penalty. Iweje mseme Yanga alinufaika na makosa ya refa?
monica.proctor3 weeks, 5 days ago
Hahahahahahahahahahah Jemadari hapo umeonyesha ukomavu wako
michelle_bryan3 weeks, 5 days ago
Leo hakuna uchambuzi ni kuhadisiwa hadisi za zamani tu 🚮🚮
annshah4553 weeks, 5 days ago
Mkai huna lolote mnafiki tuu wewe ni Simba ulishajionyesha wazi kuwa wewe ni simba
Mnaimba kwa kujilazimisha kinafiki tuu mnajulikana hako ka redio kenu wote ni simba isipo kuwa Hance
Inshallah mungu atamfanyia wepesi pacome zouzou
Mungu amusaidie pacome
Nimefurahi sana Jemedari amerudi Tena kwenye show
jamal upo sahiihi kabsa simba wajilaumu wenyewe viongozi wajithimini kama wanafaa kuiongoza simba 😊
Duh! Jemedari leo amepiga spana za nguvu leo! Simba sc jipangeni, acheni kulia lia!
Simba wao waendelee kujenga timu sisi wananchi tunaendelea kubeba makombe ya ubingwa,Imagine timu imeshuka daraja lakini inawatoa povu,nawatakia ushindi mono azam fc kombe la FA
Naomba sheria 17 za mpira na subsection vidogo vidogo vifanyiwe marekebisho,adhabu kali itolewe kwa makosa ya makusudi kama la jana la kutuumizia professor Pacome, pacome ni mchezaji anayecheza kwa makini sana,kumfanyia unyama kama huu inauma sana,red kadi peke.yake na kumfungia mfanya kosa haitoshi iende sambamba na kumkata shs 5,000,000 kutoka kwenye mshahara wake ili iwe fundisho kwa wengine,imagine unampa mwenzako kilema cha maisha kwa makusudi,familia yake utilea wewe?
Geof Lea hata kama wewe ni Simba huwezi kua kipofu hivyo. Mechi ya Zanzibar Dube hakua offside, Mechi ya Singida na Simba , Simba goli la pili lilikua offside matokeo yalipaswa kua 1-1 lkn Singida wakaonewa. Azam vs Yanga Dube alilimwa ndani ya penalty area hakukua na penalty. Iweje mseme Yanga alinufaika na makosa ya refa?
Hahahahahahahahahahah Jemadari hapo umeonyesha ukomavu wako
Leo hakuna uchambuzi ni kuhadisiwa hadisi za zamani tu 🚮🚮
Mkai huna lolote mnafiki tuu wewe ni Simba ulishajionyesha wazi kuwa wewe ni simba