AHMED ALLY ALIPUKA BAADA YA KUPOTEZA UBINGWA WA LIGI TUMEMALIZA LIGI KIBABE-AGUSIA UBINGWA WA YANGA ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
ADVERTISEMENT
LABDA YANGA AJITOE KWENYE LIGI
Hamjafikia malengo kila msimu?😂😂😂😂 kimewalamba Yanga bingwa tena mara ya tano mfururizo 😢😢😢. Simba kubeba kombe la NBC ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄 mlikuwa na uwezo kubeba ubingwa sasa imekuwaje 😅. Kila msimu maneno hayo hayo njoo tusherekee ubingwa jangwani punguza porojo. I love Yanga ❤️ ❤❤❤❤❤❤❤
Yanga bigwa. Kila mwaka mnaongea tu sisi yanga tumepata division one kumbe kubwa nyinyi kombe la shilikisho ni sawa na division two yanga bigwaaaaaa
Huna lolote kubali umeshidwa makolooo
Fulaha yangu kuona simba ikiteseka kama ivi apo naona raha 😂😂
Tangu uwe msemaji Simba atujabeba kombe la nbc
Malalamiko FC
Pole semaji unajua kujieleza
Anaongea kiukike kabisa Anaongea kiushoga Ana mambo ya kiukhanithi
TATIZO SISI SIMBA POLOJO BLAABLAA NYINGI NA KUBEBWA BEBWA SANA LAKINI HATUKUBEBEKA 🤲 MUNGU WANGU BARIKI UZIMA WA PACOME MPONYE ALUDI KATIKA AFYA NJEMA NA AJE KUENDELEZA KALIA YAKE YA MPILA ⚽ WA MIGUU AMIIN 🙏
Azam nae bingwa Crdb. Utajua ujui.😂
Sajilini acheni kujitetea
Mnajifariji kwa maneno mengi 😅😅 wanasimba mnafuraha gani Ahmed Ally 😂😂😂😂
🤣🤣🤣💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛🤣🤣🤣🤣🤣
Ila semaji yanga wametaka mgawane makombe ili muache kuwasema wananchi kwamba wanaalibu ligi la bongo ila mucpokuwa makini mutawasema na azam😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yapo pia maamuzi ya hovyo mlinufaika nayo, usisahau😂😂😂
BADO WANAJENGA TIMU
Ubora wa timu hautoshi usijisifie sana boresheni timu
SIMBA mlibebwa mechi ya Dodoma Jiji na Singida
Maandiko Matakatifu hakuna hata neno moja litapita, Amelaaniwa Amtegemeaye Mwanadamu!, Maandiko yametimia shubamitsi Zenu!, TFF + BODI YA LIGI + Simba, kwa YANGA peke yake wote chaliiiiiiiiiiiiiiiii YANGA BINGWA x🏆🏆🏆🏆🏆 mtawaliwaa !!,