USISAHAU KU-SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU KWA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU.
INSTAGRAM @pmtvtz
TIKTOK @officialpmtv
TOVUTI: www.pmtv.co.tz
ADVERTISEMENT
Comments 40gesine_schinke:
Umesema kweli simba hawajawahi kukaa kimya kila kitu ni kul…
Umesema kweli simba hawajawahi kukaa kimya kila kitu ni kulalamika tu
Eti wakikaa kimya hawajapenda😅😅😅😅😅😅😅 ila simba wazidi malalamiko
Sema unajibu vuzuri sana,kweli wao kila kitu kilalamika tu wajinga awa,
Ni kawaida ya MASHANGAZ kulalamika....tusiwashangae
Goli 15 assist 8 fei Goli 14 assist 7 okello
Huyu anawajua vizuri kolo
Simba wao ni kulalamika Kila kitu
Simba walilalamika mechi Yao na yanga,yanga kuipeleka amani.hakika ni furaha yao
Bro Zakaria umeongea vizuri sana leo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Mungu abariki sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂sahihi kaka hujakosea
Mkia hoyeeeeee😂😂😂😂😂
Safi sana Zaka hao mbona Kigoma hawakusema na ni mbali kuliko pemba
Jibu la swali la MWISHO ahahaha💚💚
Malallamiko FC .
Ndio nimejua leo kwamba mbwa kukalia mkia ndio furaha yao
MIKIA FC A K A MALALAMIKO FC
Very positive mindset. Zaka you are very intelligent and intellectual🎉🎉
Sahihi kabisa Simba ni Malalamiko fc
Semaji unaongeaga kimpira haswaaa❤❤
Makolo bhana wanafungwa wengine wanalalamika wao 😅😅😅😅😅 yanga bigwa nbc Azam bingwa crdb