Walicheza peke yao mbona walichezo wote haohao na kurudiana😂😂😂
D
damien_davies1 month ago
Ibenge Yanga anataka ubingwa wa Nbc. Tunachotaka sisi Yanga tutawasapot Azam amkande kolo ili kolo acheze Shilikisho tu.
D
dawn_horton1 month ago
Yanga walicheza Kigoma, walipotoka Kigoma walicheza Arusha na walipotoka Arusha wakaenda kucheza Mwanza. Muda ktoka mechi zote hizo haukuzidi saa 72 ya kisheria. Azam kabla hawajacheza na Yanga walikuwa na mapumziko ya siku 5, na Yanga walipofungwa Mwanza kocha Moulin hakutoa sababu hizo za uchovu. Timu zote zilisafiri kutoka Mwanza kwenda Zanzibar na hivyo timu zote 2 zilikuwa na muda unaolingana wa kujiandaa. Wakubali yaishe wasonge mbele
Walicheza peke yao mbona walichezo wote haohao na kurudiana😂😂😂
Ibenge Yanga anataka ubingwa wa Nbc. Tunachotaka sisi Yanga tutawasapot Azam amkande kolo ili kolo acheze Shilikisho tu.
Yanga walicheza Kigoma, walipotoka Kigoma walicheza Arusha na walipotoka Arusha wakaenda kucheza Mwanza. Muda ktoka mechi zote hizo haukuzidi saa 72 ya kisheria. Azam kabla hawajacheza na Yanga walikuwa na mapumziko ya siku 5, na Yanga walipofungwa Mwanza kocha Moulin hakutoa sababu hizo za uchovu. Timu zote zilisafiri kutoka Mwanza kwenda Zanzibar na hivyo timu zote 2 zilikuwa na muda unaolingana wa kujiandaa. Wakubali yaishe wasonge mbele
Yanga wenyewe walikuwa mafia?
Kwaiyo yanga hawakuchoka