MCHOME AUKUBALI MZIK WA YANGA AWAPA UBINGWA CHOBWEDO SIMBA WALIMTUMA KASHINDWA OKELLO NOMA SIMBA BAS
ADVERTISEMENT
Comments 19
andrew_aguilar:
yanga bingwa
More Like This
11:30
1ይ ዕለታዊ ዜና ስፖርት ሓሙስ 30 ሓምለ 2026፦ ዩናይትድ ምስ ኣል ሂላል ትወዳደር // ካራገር ንሊቨርፑል የጠንቅቕ // ሄንደርሰን ወዲኡ // ሃው ተፋንዩ
Sports
3.1k
66
0:45
Rooney vs Ronaldo: World Cup 2006 😔💔
Sports
13.5k
0
4:56
NRL 2026 | Cowboys v Roosters | Match Highlights | Round 22
Sports
2.0k
0
2:26
When Keith Hackney battled 600+ pound Emmanuel Yarbrough at UFC 3!
Sports
63.5k
100
0:47
💔 Celine Dept, IShowSpeed & Fans in Tears as Ronaldo Plays His Final World Cup Match 😭🐐
Sports
103.5k
100
22:40
HENDERSON + WELBECK TO CHELSEA?! Ayala explains WHY it makes sense 🚨 Smart business or desperation
Sports
445
18
13:41
NRL Highlights: Cowboys v Roosters - Round 22 | NRL on Nine
Sports
704
100
0:46
Best Smoothest Moments 🥰
Sports
272.8k
100
You've reached the end
yanga bingwa
❤❤❤❤umetisha sana kk
Yanga kashuka kiwango ukiilinganisha na yanga yenyewe...sio timu yoyote...
Mchome mapooooov wape darasa
wahambie kaka
Mtegemea cha nduguye.....mara Azam tusaidieni,mara TRA tusaidieni ...a few moments later ...Azam kauza game! Cjui na TRA kauza game?
Nakubali mchomeeeeee
We mchome kwanza tupatie hela ulio tuahidi jana
it is funny kuona hivi viandishi na wachambuzi uchwala wakisema 'yanga akifungwa' kwani simba hawezi kufungwa? na hii ndo imeiponza simba,wametegemea sana wengine kuliko wao wenyewe.wakati wao wameshindwa kuifunga yanga hii 'iliyoshuka viwango'.
Simba na Wachambuzi na Waandishi mtabakia kusema Yanga kashuka kiwango Shida Waandishi wetu acheni Siasa za Mpira kaeni kwenye fani yenu
naaam
🎉🎉🎉🎉 🥰 Yanga Bingwa
Mwagala yuko wapi leo alisema Yanga ni tawi la TRA 😂😂😂😂😂😂😂😂
Wachezaji Umri Miaka 35 unatengeneza timu 😂😂😂😂
😂😂
Chobwedo, Chobwedo, Chobwedo 😂😂😂😂 leo kalowa chepe chepe. Yanga bingwa tena
Usutuinjoi wana simba were nice yanga toka zako
Mchome Media zkimuhoj within few minutes Viewers wanakuwa weng😊
Ww mchome naomba usivae jenc ya simba bakuomba sana Acha jenc ya simba nakuomba ndg yang hiyo jez ione kama kituo kibaya ww ni mdgo wangu nakushauri axhana na simba sio levo yko