Jamani wazazi muwalee watoto wenu kwenye maadili mazuri,Ndio maana unakuta mabinti wengi hawapati ndoa kisa midomo na visirani..
Ila Kiboga hapana kwa kweli..!!😂😂😂
ADVERTISEMENT
Comments 100luisquesada524:
Kwa vile Mungu amekupa afya, uhai na riziki. Basi tumia dak…
Kwa vile Mungu amekupa afya, uhai na riziki. Basi tumia dakika 1 tu kumshukuru 🙏
micheal.turner1 month ago
Usimwambie mtu shida zako , kwani naye ana zake, atakutangaza TU Kwa watu badala ya kukusaidia, amka saa nane usiku mwambie MUNGU muumba bila kuchoka atatua matatizo Yako.
natashabeasley8901 month ago
MwenyezMungu awafanyie wepes mpate ridhiki halali na awaepushie ajali mbali mbali za bara balani Amina
anel.valdez1 month ago
Kwahiyo tusubiri tena hadi ijumaa ijayo Kwa Dakika 5 Daah.......NASHINDWA KUWAELEWA
L
leon.mohaupt1 month ago
😂 Mama mwenye nyumba kaniambia nikipata like 50 ananisamehe kodii 😂
I
irmela_bärer1 month ago
Daaah joti mpk wikii ijayoo mbali😂😂😂😂😂
C
carrie.chambers1 month ago
Joti naye anaufala,Sasa tumeona nini mpaka tusubiri tena ijumaa ijayo,hadi nimekata tamaa.
luisquesada5241 month ago
Joti ameanza lini mambo ya ITAENDELEA...imekuwa lile igizo la KIDEDEA kuna watu tutaelewana nikisema KIDEDEA
Kwa vile Mungu amekupa afya, uhai na riziki. Basi tumia dakika 1 tu kumshukuru 🙏
Usimwambie mtu shida zako , kwani naye ana zake, atakutangaza TU Kwa watu badala ya kukusaidia, amka saa nane usiku mwambie MUNGU muumba bila kuchoka atatua matatizo Yako.
MwenyezMungu awafanyie wepes mpate ridhiki halali na awaepushie ajali mbali mbali za bara balani Amina
Kwahiyo tusubiri tena hadi ijumaa ijayo Kwa Dakika 5 Daah.......NASHINDWA KUWAELEWA
😂 Mama mwenye nyumba kaniambia nikipata like 50 ananisamehe kodii 😂
Daaah joti mpk wikii ijayoo mbali😂😂😂😂😂
Joti naye anaufala,Sasa tumeona nini mpaka tusubiri tena ijumaa ijayo,hadi nimekata tamaa.
Joti ameanza lini mambo ya ITAENDELEA...imekuwa lile igizo la KIDEDEA kuna watu tutaelewana nikisema KIDEDEA
NASHINDWA KUWELEWA 😂😂😂 PART 2 TENA DUH
😂😂😂😂😂 nishaiiiii mtomba ngwile kitwango misuguano miguno mikazo basssi big sound mwenyewe 🙌🙌
Kilifi, 254Kenya❤
Mlewa Anakuaga Fala sanaa😅😅
umezzingua kinoma, dakika 5 itaendelea sa ndo nini iki, kama unataka series si uweke ata dk 10-15, utapoteza watazamaji na mm nikiwa mmoja wao
Nilipo muona kiboga yupo mekapu nikasema kesho nipo na subili michambo ya kibonga joti unatisha ila like 👍 kidg
Kiboga 😊
Duh watu hamulali
Sema joti, nachukia hizi unazo act Kwa jinsia tofauti😢
From Capital city of Africa 😂❤❤
Nakupenda kiboga😂😂😂❤❤❤
Jaman da kibioga❤❤