Mechi ya Yanga na Azam mwanza goli la Depu liliitwa offside nawakati sio kweli sikuwasikiamkilizungumzia ila penalt ya Yanga kelele.Mechi ya simba na Yanga ambayo chama alianguka kwenye penalt box hamkusema haya acheni unafkii
H
hans-heinrich.segebahn23 hours, 58 minutes ago
Contact ilikuwepo kabla ya twalibu kucheza mpira angalia mguu wa kulia wa twalibu ulimtega depu
michelle_bryan1 day, 3 hours ago
Je lile goli la depu la mwanza mbona hamkulizungumzia?wambea nyinyi wachambuzi
J
jamesrune241 day, 3 hours ago
Juma anyo ni mbea kweli
N
nehaganesh9761 day, 4 hours ago
Kwani ww mwamuzi?
D
daniel_garcia23 hours ago
Nitanzania pekee wachambuzi huchukua muda mwingi kusifia Timu iliyofungwa 3 ziro na kuiponda Timu bora
C
cheyenne_brown1 day, 4 hours ago
JEMEDARI HAYUPO?
R
rolando_zayas1 day, 1 hour ago
Leteni vAR refa nae ni binadamu
S
stéphane.perrin1 day, 2 hours ago
Endeleeni kuteseka, Juma Ayooo KOLO lazima uangalie Mchezo wa timu yako na kwa YANGA ulitamani ipoteze.
F
frédérique_weiss1 day, 4 hours ago
Chambua matokeo ya Jana
F
frédérique_weiss1 day, 3 hours ago
Hans kumbuka Simba alifungwa goli Moja mbele ya Mzee Magufuli na Simba alibeba trophy kumbuka Yanga pamoja na bakuli lake lakini alikuwa anamfunga Simba siyo droo peke yake
H
hans-willi_kallert17 hours, 13 minutes ago
Huyu siyo mchambuzi ni shabiki wa Simba, aende akawaekejeze. Unaposhindwa kumfunga mpinzani wewe si bora. Hizo hadithi za nje ya uwanja huko ni kupotosha maana halisi ya mpira
severin.geisel1 day, 3 hours ago
Acha kuongea uongo Hansi nyie mnakosea kwani twalibu alikuwa nyuma ya depu na kumgusa mchezaji ndio kafata mpira wote humu ndani mihemko tu
michael.campbell23 hours, 11 minutes ago
Yanga ikifungwa ni mbovu azam ikifungwa ni uchovu wachambuzi hovyo kabisa
Mechi ya Yanga na Azam mwanza goli la Depu liliitwa offside nawakati sio kweli sikuwasikiamkilizungumzia ila penalt ya Yanga kelele.Mechi ya simba na Yanga ambayo chama alianguka kwenye penalt box hamkusema haya acheni unafkii
Contact ilikuwepo kabla ya twalibu kucheza mpira angalia mguu wa kulia wa twalibu ulimtega depu
Je lile goli la depu la mwanza mbona hamkulizungumzia?wambea nyinyi wachambuzi
Juma anyo ni mbea kweli
Kwani ww mwamuzi?
Nitanzania pekee wachambuzi huchukua muda mwingi kusifia Timu iliyofungwa 3 ziro na kuiponda Timu bora
JEMEDARI HAYUPO?
Leteni vAR refa nae ni binadamu
Endeleeni kuteseka, Juma Ayooo KOLO lazima uangalie Mchezo wa timu yako na kwa YANGA ulitamani ipoteze.
Chambua matokeo ya Jana
Hans kumbuka Simba alifungwa goli Moja mbele ya Mzee Magufuli na Simba alibeba trophy kumbuka Yanga pamoja na bakuli lake lakini alikuwa anamfunga Simba siyo droo peke yake
Huyu siyo mchambuzi ni shabiki wa Simba, aende akawaekejeze. Unaposhindwa kumfunga mpinzani wewe si bora. Hizo hadithi za nje ya uwanja huko ni kupotosha maana halisi ya mpira
Acha kuongea uongo Hansi nyie mnakosea kwani twalibu alikuwa nyuma ya depu na kumgusa mchezaji ndio kafata mpira wote humu ndani mihemko tu
Yanga ikifungwa ni mbovu azam ikifungwa ni uchovu wachambuzi hovyo kabisa