USISAHAU KU-SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU KWA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU.
INSTAGRAM @pmtvtz
TIKTOK @officialpmtv
TOVUTI: www.pmtv.co.tz
ADVERTISEMENT
Comments 76danieladams607:
Kwa nini mbona simba alipigwa 5 sasa ahamini nini kwa azamu
Kwa nini mbona simba alipigwa 5 sasa ahamini nini kwa azamu
Mnafiki huyo anashangaa machoni moyoni anaumia😂😂😂
Wewe mwenyewe ulipigwa tano?? Azam ni nani?
Hongera semaji umeongea vizuri sana
Yako yalikushinda kumtegemea Azam, yanga haifungwi mara mbili ww. Ukiwa unaishangaa Azam 3 kolo kala chuma 5 alizidiwa au!
8:04 iyo kumaliziwa pakti 😅😅😅daaa
Huyu Bro Hayupo Serious 😂😂😂
Achana na hayo yote Kuna mtu kamaliziwa pakiti
Wewe nyau tulia funga kamdomo ubingwa ni WA yanga
Ahahahahah was waaa waa😂😂
Hahaaaaaaa Umebid nicheke,siku zote mtegemea chandugue hufa maskin
Et wawawaa😂😂😂lkn ahmed🙌
WAMETUUZIA!!!!
Najua unafulai wewe sasa ndo jasusi wetu
Muhimu tushinde mechi zetu zote inshaallah
nguvu moja forever
Hongera Ahmed, Umeongea Kwa Hekima na Busara sana. Ukweli huuma, ila wewe umeusimamia
😀😀😀😀😀😀😀chuma tatuuuuuuuuuu
Kajamaa haka ni yanga bana mbona kamefurahi sana
Kila mtu ashinde mechi zake