0:00
10:53
10:53

Yanga 3-0 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 24/06/2026

Sports

Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar. Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua. Hii ni Ligi Kuu ya NBC, raundi ya 28 (bado mbili tu) Tazama highlights

ADVERTISEMENT
Comments 100 zoé_rousset: Goli la 3 la pacome cheki alivyowasodoa watu mnaongea sana …