Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar. Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua. Hii ni Ligi Kuu ya NBC, raundi ya 28 (bado mbili tu) Tazama highlights
ADVERTISEMENT
Goli la 3 la pacome cheki alivyowasodoa watu mnaongea sana nywii nywiiii fyaaaaa
Bwana Yesu Kristo, Anaokoa Na Anabadilisha Maisha.
Tuacheni masihara bao la tatu na movement za dube unaeza ukaombea mkopo benk🤣🤣🤣
Hongereni sana, poleni ... tunawashukuru sana kwa kuipenda Yanga. Tunawaombea ubingwa mkubwa kwa kuwa mmefanya kazi kubwa. As ur fans we appreciate you and we thank God to be Yanga players. We love you🎉
Dube ni hatariiiiiiiii
Dube the best goal assistant
Sanjentiii Baccaaaa, Dubeeeee, Depuuuu, Pacomeee, Maxiiii, Okelooʻ wanajeshi wetu kamili
Tatizo kamdomo😂 makolo nywiiiiiii
Yesu Ndiye njia ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI (Yohana14: 6 Warumi10:9-10).
yanga bingwa💪💪💪
Azam wamepigwa na kitu kizito kichwani
Hamuwezi kutufunga mara mbili mfululizo nyambafu nyie
Km wametumwa na simba leo kimewalamba
Asante mungu asante yanga 🙏
Yanga Africans sports club 💚💛🔰
Yanga bingwa Asante yesu
Diara is the best 🎉
Kwahy yanga ndo wamewajibu kuwa kule kwenye crdb hawakuwafunga kwa kuwaweza ila waliamua kuwaacha ili simba achezee shirikisho
Diaraa 🫡🫡🙌🙌🫡🙌🫡🙌🫡
Mpenja hongera sana endelea kuitumia sauti yako hongera sana