Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua.
Haya hapa magoli yote...
ADVERTISEMENT
Comments 100erick_pimenta:
Yesu Ndiye njia ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOK…
Yesu Ndiye njia ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI (Yohana14:6 Warumi10:9-10).
Dubeee like zake apa
Yesu ndie njia kweliiiiiiiii na uzima mtu hawezi kwenda Kwa baba bila ya njia ya Yesu kiristo ukoka uwende mbinguni Amina🙏🙏
Sijui wachambuz walokua wanasema yanga ndo imechoka leo wanasemaje
Hadi rahaaaa jamani🎉🎉🎉❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉 mwanayanga mimi Sina mashaka na team yangu
Hii ni yanga Africa daima mbele nyuma mwiko
Yanga mbele daima
like za dube ziwe hapa kahusika kwenye mabao mawili 🙌🙌🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Huu nd utam wa kushabikia yanga
yanga bingwaa🏆🏆
Asante mungu jamani nina furaha mpaka naumwa
Yaani unalazimishwa kufungwa hii ndio maana ya timu kubwa mji umetulia
Afu anatokea tu shabiki maandazi ameshiba uji na viazi anasema dube ameisha😂
Aliyeua kwa upanga nae kafa kwa upanga
YANGA BINGWA 🤲🤲🤲🤲🔥 ulitak my uk
Azam wa watu ata hawaumii, simba sasa😅😅
Penati safi kumbe ariguswa kwenye goti
My Lovely Team Yanga❤💚
Salute