0:00
4:37
4:37

Magoli | Yanga SC 3-0 Azam FC | NBC Premier League 24/06/2026

Sports

Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar. Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua. Haya hapa magoli yote...

ADVERTISEMENT
Comments 100 erick_pimenta: Yesu Ndiye njia ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOK…