YANGA IMETOLEWA NA AZAM PUNGUFU, MASHABIKI WA YANGA NA SIMBA WATAKA KIZICHAPA KISA AZAM.
ADVERTISEMENT
Comments 15
irmela_bärer:
Yes huo ni mpira, ndio mpira ila kwasababu yanga ni nadra k…
More Like This
1:39:24
🔴#LIVE: YANGA WANAMTANGAZA NYOTA MPYA USIKU HUU
Sports
390
0
14:43
UCHAMBUZI MKALABOKO | YANGA WAMELETA NAMBA SITA MPIMA UMRI | WAPINZANI WAJIPANGE
Sports
206
0
11:49
Girona vs Arsenal 1-4- HL & GoaIs - Friendly Match 2026
Sports
2.9k
44
0:53
Why Ronaldo Couldn't Ignore Yamal's Bold Challenge
Sports
19.7k
0
0:55
Jamaica Stuns World No. 1 Australia to Reach Commonwealth Games Final!
Sports
2.9k
0
8:05:48
Caymanas Park Jamaica | Saturday, August 1, 2026
Sports
368
0
2:18
Navajo Stirling Octagon Interview | UFC Belgrade
Sports
749
100
0:42
Can a Normal Person Run Faster Than Yamal?
Sports
66.2k
100
You've reached the end
Yes huo ni mpira, ndio mpira ila kwasababu yanga ni nadra kufungwa, ikitokea wanaofurahi wanakuwa wengi sana. So furahieni, ni wakati wa kulala na viatu
Tatzo ni kwamba yanga Huwa mnaamini Kila mech mnashinda ,na wakat mpira hauko hivoo mnakariri
Safi sana ❤❤❤🎉🎉🎉
Sawa kabisa
Mchumba mzee kakimbia
WAJINGA WANASEMA SANA LEO HUYO DR MO ANA NINI
ambukile sifia yanga leoi ynga bora
NGAO YA JAMII MBONA HUSEMI?
Wameanza kujenga uwanja Mawazo wamepeleka huko ndo maana wamefungwa
Saizi wanajenga uwanja kwahio tuwasamehe bure
Simba Bingwa NBC mwaka huu
Maneno yatakuwa mengi sana sijui ni kwanini, sababu Azam kumfunga yanga si ajabu sababu hata msimu uliopita yanga na Azam waligawana Mechi hivyo shida ni yanga timu kubwa kila kinachotokea kwa yanga kinakuwa kikubwa.
Mashabiki wa yanga wengi hawaujui mpira et inamuuma kutolewa na wachezaji pungufu ndiyo nini sasa ? Simba nguvu moja 😂😂😂😂😂😂
FRANCE MWAKA 1998 ILIKUWA PUNGUFU ILIMNYANGANYA BRAZIL KOMBE LA DUNIA,MLIKUWA BADO KUZALIWA
DOKTA MO ANAONEKANA KAFURAI BAADA YANGA KUTOLEWA SISI WANANCHI TUNAJUA HILO ILA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO