Mwaduke natafta clip uliyochambua tukio la Ibrahim Bacca kumshikilia kitambala na tukio la shambulizi la himid mao kuelekea lango la yanga likaamuliwa kuwa ni kosa. Lete huo uchambuzi
utkarsh.kalita1 month, 1 week ago
Vipi kuhusu beki wa yanga yeye hakufanya makosa?
L
liesalangern861 month, 1 week ago
je bacca yeye mbona hakupewa kadi au tuliona vibaya😂😂😂
Nice analysis
Mwanza pazuri sana
Mwaduke natafta clip uliyochambua tukio la Ibrahim Bacca kumshikilia kitambala na tukio la shambulizi la himid mao kuelekea lango la yanga likaamuliwa kuwa ni kosa. Lete huo uchambuzi
Vipi kuhusu beki wa yanga yeye hakufanya makosa?
je bacca yeye mbona hakupewa kadi au tuliona vibaya😂😂😂
tunaomba uchambuz wabaka kumshika kitambala uhalal ulikua wap nakad yahimid ilikuaje
Hakustahili
Azam fc ni bingwa wa subiri kukamilisha r t v kukamilisha fainali tu japokuwa refa na kuwa natuonea
Ile faulu ya bacca dhidi ya Mutambala haikuwa red?
Vyura bila bahasha