Wenzangu Wana Young African tupunguze lawama Kwa uongozi wa timu yetu, ukweli ni kwamba nguvu na spirit ya kupambana Kwa wachezaji imepungua Sana na, ni Jambo la kawaida Kwa wachezaji waliotumikia timu Kwa muda mrefu sababu ndio hao hao wametupa furaha Sana huko nyuma, tumebeba makombe yote ya ligi kuu na mengine kwa misimu yote minne. Muhimu tuombe uongozi wa Young African wafanye usajili wa wachezaji ktk maeneo yote,,naamini viongozi wetu wanajua na wanaumia pia tukipata matokeo mabaya..MUNGU awasaidie sana ktk kufanya choice ya watu sahihi Amen.
abigailbrown4821 month, 1 week ago
Ukweli ni kwamba Timu ina Wachezaji waliochoka na kushuka viwango. Msimu ujao Wachezaji kama Depu, Damaro, Buba, Kouma na wengine hawana faida kwa Timu. Hata Pacome amechoka na ameshuka kiwango. Anacheza Kistaa tu.
H
hans-willi_kallert1 month, 1 week ago
Hayo ndo maneno ya kiume,sio lawama zisizo na msingi.hawa vijana wanapitia magumu sana huko viwanjani mnakijua hilo,mjipange kiufundi na nyie,tena ufundi wa Mungu unaoshindikana na chochote.
maanaszachariah601 month, 1 week ago
Timu ya yanga imebebwa sanaaa
alexislopez2631 month, 1 week ago
Ally kamwe umeongea vizuri sana
K
kristopherhart2941 month, 1 week ago
Of side ya wazi mbona huongelei kadi nyekundu ya baka
C
christine_ferrand1 month, 1 week ago
Yuko sahihi alikamwe
graham_harvey1 month, 1 week ago
Kwaiyo Kama wakiend kuangalia wakagundua aikuwa Offside ww utafany nn 🙈🙈🙈🙈 Game itaanzia mwanzo 🙈
christine_woods1 month, 1 week ago
Tusizungumze sana sisi yanga tunashida moja kusifia vitu vya hovyo tuliisha sema muda mrefu kocha hana uwezo wa kuifundisha yanga tukikosa ubingwa tutaulaumu uongozi kwa sababu wanayaona matatizo wanayacha tu
claude.renard1 month, 1 week ago
Tatizo sabu za kocha hazina malengo ni upumbavu unatoa abuya unaweka damaro?? Na unamuingiza Edmund John kocha hayupo serious kwa kweri
keith.mitchell1 month, 1 week ago
Wa Cuba tulijua tu Azam anaachiwa hili nae atawaachia La Ligi.
K
kevin.brown1 month, 1 week ago
Wana Yanga wenzangu nilisema mapema timu ni mbovu yaani mwaka huu ni hatari sana
gaelhenrique_farias1 month, 1 week ago
Tengezeni timu yanga,wachezaji washanza kiburi na Muna bahati sana kuto ingia na simbo Mana munge pingwa Kama ngoma
C
colleen_woodard1 month, 1 week ago
ww pakome kwasasa hatufayi
J
josué_costela1 month, 1 week ago
Katimu kamechoka tuu hakuna cha kutetea.
A
abeerbath4071 month, 1 week ago
Kamwe tunamwomba Eng. Heris msisajili wachezaji wa Simba tena tunajipamatatizo bure kwa nini Pacome naye hachezi vizuri jamani mipira inamponyoka dribbling nyingi mno halafu ananyanganywa mipira kijinga sana Pacome semaji mwambieni.
Wenzangu Wana Young African tupunguze lawama Kwa uongozi wa timu yetu, ukweli ni kwamba nguvu na spirit ya kupambana Kwa wachezaji imepungua Sana na, ni Jambo la kawaida Kwa wachezaji waliotumikia timu Kwa muda mrefu sababu ndio hao hao wametupa furaha Sana huko nyuma, tumebeba makombe yote ya ligi kuu na mengine kwa misimu yote minne. Muhimu tuombe uongozi wa Young African wafanye usajili wa wachezaji ktk maeneo yote,,naamini viongozi wetu wanajua na wanaumia pia tukipata matokeo mabaya..MUNGU awasaidie sana ktk kufanya choice ya watu sahihi Amen.
Ukweli ni kwamba Timu ina Wachezaji waliochoka na kushuka viwango. Msimu ujao Wachezaji kama Depu, Damaro, Buba, Kouma na wengine hawana faida kwa Timu. Hata Pacome amechoka na ameshuka kiwango. Anacheza Kistaa tu.
Hayo ndo maneno ya kiume,sio lawama zisizo na msingi.hawa vijana wanapitia magumu sana huko viwanjani mnakijua hilo,mjipange kiufundi na nyie,tena ufundi wa Mungu unaoshindikana na chochote.
Timu ya yanga imebebwa sanaaa
Ally kamwe umeongea vizuri sana
Of side ya wazi mbona huongelei kadi nyekundu ya baka
Yuko sahihi alikamwe
Kwaiyo Kama wakiend kuangalia wakagundua aikuwa Offside ww utafany nn 🙈🙈🙈🙈 Game itaanzia mwanzo 🙈
Tusizungumze sana sisi yanga tunashida moja kusifia vitu vya hovyo tuliisha sema muda mrefu kocha hana uwezo wa kuifundisha yanga tukikosa ubingwa tutaulaumu uongozi kwa sababu wanayaona matatizo wanayacha tu
Tatizo sabu za kocha hazina malengo ni upumbavu unatoa abuya unaweka damaro?? Na unamuingiza Edmund John kocha hayupo serious kwa kweri
Wa Cuba tulijua tu Azam anaachiwa hili nae atawaachia La Ligi.
Wana Yanga wenzangu nilisema mapema timu ni mbovu yaani mwaka huu ni hatari sana
Tengezeni timu yanga,wachezaji washanza kiburi na Muna bahati sana kuto ingia na simbo Mana munge pingwa Kama ngoma
ww pakome kwasasa hatufayi
Katimu kamechoka tuu hakuna cha kutetea.
Kamwe tunamwomba Eng. Heris msisajili wachezaji wa Simba tena tunajipamatatizo bure kwa nini Pacome naye hachezi vizuri jamani mipira inamponyoka dribbling nyingi mno halafu ananyanganywa mipira kijinga sana Pacome semaji mwambieni.