MIRAJI| AU YANGA WAMEJIVUNJA? UKUBAKI UKATAE YANGA IMESHUKA|AZAM KANIFUNGA MDOMO KABISA LEOππ
ADVERTISEMENT
Comments 72
madeleinedelahaye639:
Yanga mbovu sana wachezaji wamechoka sana. Azam wamecheza bβ¦
More Like This
1:39:24
π΄#LIVE: YANGA WANAMTANGAZA NYOTA MPYA USIKU HUU
Sports
390
0
14:43
UCHAMBUZI MKALABOKO | YANGA WAMELETA NAMBA SITA MPIMA UMRI | WAPINZANI WAJIPANGE
Sports
206
0
11:49
Girona vs Arsenal 1-4- HL & GoaIs - Friendly Match 2026
Sports
2.9k
44
0:53
Why Ronaldo Couldn't Ignore Yamal's Bold Challenge
Sports
19.7k
0
0:55
Jamaica Stuns World No. 1 Australia to Reach Commonwealth Games Final!
Sports
2.9k
0
8:05:48
Caymanas Park Jamaica | Saturday, August 1, 2026
Sports
368
0
2:18
Navajo Stirling Octagon Interview | UFC Belgrade
Sports
749
100
0:42
Can a Normal Person Run Faster Than Yamal?
Sports
66.2k
100
You've reached the end
Yanga mbovu sana wachezaji wamechoka sana. Azam wamecheza bungufu yanga kala bao 3 kwa hii Azam. Ndio ataeweza Simba sports club. Hii Simba imejipata speed pia mpira mkubwa.
Wa kwanza Leo ππππ
Shida Yako miraji unapenda kukariri na mpira Pele alishema ni dakika90,muda mrefu tulikwambia yanga imeshuka kiwango ulikataa
Chagamba β€β€β€ Huwa unahoji na kuendesha program hii vizuri sana sana sana
Ohh Mimi swez vaa njano
Nimesubilia sana hii interview hapa moyo wangu umetulia
Safi miraji wewe tutakusiriza sana unajuwa bora tuweke bando kwa ajiri yako
Yanga akifungwa bhana hadi Miraji kapata mafuaππ
Acha akose tu maana kila siku Allani Okello tu.
Tunaona jez ulovaa Ina maanisha
Chagamba jamani kazi yake anaifanya vizuri sana sana kwakweli anasitahiri tuzo kabisa
Nakubari kaka uko vzuri sana
Mmmh ππ
β€β€β€
Hapo chagamba kaumia saaanaaaπ π π
Chagamba Leo naona na yanga umenyong'onyea umepigwa gongo 3,chuma3
Na tunaweza kusema ndo mitego , una mechi Leo na una mechi kubwa baada ya siku na timu hiyo hiyo ambayo kwa hapa Tanzania ni daraja la juu,Kwa hiyo wachezaji ,Benchi la ufundi hawezi kuwa na utulivu maana wanawaza mechi ya Leo na wakati huohuo wanawaza mechi ya kesho kutwa ambayo ni muhimu zaidi. Kwahiyo yeyote anayemsifu Azam kumfunga yanga amfu pia na aliyepanga Ratiba maana huyo ndio msaada mkubwa wa Azam kumfunga yanga leo.
πππ Chagamba kesho mwambie mzee masatu maneno yake huwa ya kinyume nimeshamjua tayari, alisema Azam hata wakicheza wote yanga 8 lakin azam atafungwaππππππ
Wewe mchambuzi wa yanga
π