0:00
24:18
24:18

​Ashura Kiuno | Season 2 - Ep 6 [ BALAA LINGINE TENA! ]

Comedy

Mambo yanazidi kuwa moto! Baada ya misukosuko ya vipindi vilivyopita, Episode hii ya 6 inakuja na majibu ya maswali mengi, lakini pia inafungua milango ya siri mpya na mikanganyiko mikubwa zaidi. Je, nini hatatokea safari hii? Hakikisha unatazama mwanzo hadi mwisho usipitwe na uhondo huu! ​Kama bado hujatazama vipindi vilivyopita, bofya viungo hivi hapa chini kufuatilia msimu huu kuanzia mwanzo: 👉 TAZAMA EPISODE 1: [ https://youtu.be/wb2KDWlH6g0?si=GpfYN9Gk4RRy831j ] 👉 TAZAMA EPISODE 2: [ https://youtu.be/VoJuYdFq4a0?si=mMVrxyRoj8aEB3Ls ] 👉 TAZAMA EPISODE 3: [ https://youtu.be/gGV9Jm6FdeA?si=reAozGsTnanolqRC ] 👉 TAZAMA EPISODE 4: [ https://youtu.be/RLZ6V6qMY2M?si=lyaEOqdigUKB7ymL ] 👉 TAZAMA EPISODE 5: [ https://youtu.be/8VtAE4p8WWw?si=5yCXTyIxzuLMJvqG ] ​Asanteni sana kwa kuendelea kuunga mkono kazi zetu! Tafadhali usisahau: 👍 LIKE video hii kama umeipenda. 💬 COMMENT maoni yako—unahisi nini kinafuata? 📢 SHARE kwa marafiki na kwenye magenge ya WhatsApp. 🔔 SUBSCRIBE na uwashe kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa kila tunapoweka kipindi kipya! ​#AshuraKiuno #AshuraKiunoSeason2 #Episode6 #TeamDoko #BongoMovie #SwahiliDrama #FilamuZaKiswahili #TrendingTanzania #ShortFilm

ADVERTISEMENT

Comments 100

Sign in to join the conversation

Sign in
G
gabriela.miranda 23 hours, 47 minutes ago

Mfinanga iko wapi

G
gabrieltempest28 1 day, 1 hour ago

Hili ndundo la Ashura kiuno s2 ni Kari sana

M
meganmccarthy268 1 day, 7 hours ago

🎉🎉🎉❤❤❤

R
robert.maldonado 1 day, 7 hours ago

🎉🎉🎉🎉🎉🎉

C
christopher_thompson 1 day, 7 hours ago

🎉🎉🎉🎉🎉🎉

M
maria_evans 1 day, 7 hours ago

Family🎉🎉🎉🎉

micheal.turner
micheal.turner 1 day, 7 hours ago

DOKO ANATULETEA WASANII WAPYA HALAFU WOTE WAKALI😂

R
ross.craig 1 day, 7 hours ago

DOKO ANATULETEA WASANII WAPYA HALAFU WOTE WAKALI

ekani_goswami
ekani_goswami 1 day, 7 hours ago

DOKO ANATULETEA WASANII WAPYA HALAFU WOTE WAKALI

H
hans-hinrichhendriks264 1 day, 7 hours ago

HUYO JAMAA ALIEFUMANIWA NA MKE WA KAMOTE ANAJUA

G
genaro.chavarría 1 day, 9 hours ago

Bff😂

C
corinne.daniel 1 day, 9 hours ago

❤❤❤

M
marthahaven4 1 day, 10 hours ago

🇨🇩🇨🇩🇨🇩✌️✌️

L
leon_williams 1 day, 11 hours ago

Uyo shat tumkomeshe kumamake, awezi jamaa aaoe, alaf ale mzigo

graham_harvey
graham_harvey 1 day, 12 hours ago

kaka siku hz una kuwa mweupe uson shida nn au una chovya vidole kwenye lotion ya shemej ila nakubal sana kaz zako

S
sherrybaker792 1 day, 14 hours ago

Heee kweli hii family aifai shekhe ameyatimba😂😂😂

C
christopherharper955 1 day, 14 hours ago

👌👌👌👌👌👌👌frome🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

A
aimée.foucher 1 day, 14 hours ago

Shati umeniuza UMEJICHANGANYA 😂😂

pedrolucas.abreu
pedrolucas.abreu 1 day, 15 hours ago

Wee kichwa ududu kwani watumia mkorogo hainihusu but nauliza tu 😂😂😂

S
sébastienraven35 1 day, 15 hours ago

😂😂😂ustadh kayatimba kwa ashura kiuno