MZEE WA UTOPOLO: “KWA SIMBA HII NI BORA TUMETOLEWA/SIJAUMIA KUFUNGWA NA AZAM"
ADVERTISEMENT
Comments 54
joão.costa:
Kifulifumbi we unajichomoa betr kumbe umesahau janauliseman…
More Like This
1:39:24
🔴#LIVE: YANGA WANAMTANGAZA NYOTA MPYA USIKU HUU
Sports
390
0
14:43
UCHAMBUZI MKALABOKO | YANGA WAMELETA NAMBA SITA MPIMA UMRI | WAPINZANI WAJIPANGE
Sports
206
0
11:49
Girona vs Arsenal 1-4- HL & GoaIs - Friendly Match 2026
Sports
2.9k
44
0:53
Why Ronaldo Couldn't Ignore Yamal's Bold Challenge
Sports
19.7k
0
0:55
Jamaica Stuns World No. 1 Australia to Reach Commonwealth Games Final!
Sports
2.9k
0
8:05:48
Caymanas Park Jamaica | Saturday, August 1, 2026
Sports
368
0
2:18
Navajo Stirling Octagon Interview | UFC Belgrade
Sports
749
100
0:42
Can a Normal Person Run Faster Than Yamal?
Sports
66.2k
100
You've reached the end
Kifulifumbi we unajichomoa betr kumbe umesahau janaulisemanini?
mbona haelewiki kweli hana utindio wa ubongo kweli
UNAONGEA KAMA CHIZI 😂😂😂😅😅😅
Waandishi mbona mnahoji vichaa au na nyie mmechanganikiwa!?
Vichaaa WENGI duuuu😂😂😂😂😮😅😅😅
Azam akinifunga tena niite wu wu wu😂😂😂😂
😂😂 imeumaa
Ila quality 😅
kweli baba naipa yanga yangu poleeeeeeee naipenda yanga
Yaan bongo Raha sana 😄😄😄😄😄😄😄😄mbna kama anahubir
🏆🏆🦁
Emunguu msaidiee huyuuu
Nena kiume chizi wewe.
Kafia gheto
Quality quality 😂😂😂 sema kujifariji
Mi nikajua mwamposa , kumbe ni UTo.. 😂😂😂😂😂😂
Chiriku mwenye upwiru😂😂
Hivi huyu mzee wa utopolo ana familia kweli? Mtu mzima anayetegemewa aiòngoze familia kwa kutoa ushauri ataongea hovyo hivi bila point na utafikiri mlevi mzoefy hata chokora ana uafadhali. watoto na mke wake wanamwangalia,wanatamba kuwa hapa tuna baba. Miwani hiyo inavaliwa na makatuni,watoto wakaidi, watu wajinga wajinga,machizi,wale wanaokula kwa kubahatisha. Hadi aibu. Kuna umri wa kufanya mambo kama hayo lakini si kwa umri wake. Ushabiki na mapenzi ya timu si mbaya ila akikutana na mtu mwenye akili timamu kutoka kijijini kwa mara ya kwanza,anaweza kukimbia mpaka akaumia kwa woga kuwa amekutana na chizi au kichaa
Uyu mbona kumuoji ngumu sana😅😅
Huyu vp au anazirusha?