TOBAAAH!! ZIMEVUJA KUMBE ANATUMIKA⁉️ KIKAO KIZITO KINAENDELEA | SASA ITAKUWAJE MECHI IJAO OUT
ADVERTISEMENT
Comments 15
corinne.daniel:
Mwambien Baba yenu salamba Yanga imeikimbia Simba Na c kush…
More Like This
1:39:24
🔴#LIVE: YANGA WANAMTANGAZA NYOTA MPYA USIKU HUU
Sports
390
0
14:43
UCHAMBUZI MKALABOKO | YANGA WAMELETA NAMBA SITA MPIMA UMRI | WAPINZANI WAJIPANGE
Sports
206
0
11:49
Girona vs Arsenal 1-4- HL & GoaIs - Friendly Match 2026
Sports
2.9k
44
0:53
Why Ronaldo Couldn't Ignore Yamal's Bold Challenge
Sports
19.7k
0
0:55
Jamaica Stuns World No. 1 Australia to Reach Commonwealth Games Final!
Sports
2.9k
0
8:05:48
Caymanas Park Jamaica | Saturday, August 1, 2026
Sports
368
0
2:18
Navajo Stirling Octagon Interview | UFC Belgrade
Sports
749
100
0:42
Can a Normal Person Run Faster Than Yamal?
Sports
66.2k
100
You've reached the end
Mwambien Baba yenu salamba Yanga imeikimbia Simba Na c kushuka kiwango
😂nahyo baca mumuache km mlivopanga kumuacha Israeli mwenda na mwanyeto nondo. Kiufupi marefa wenu wamezubaa kipindi hiki ila uwezo sio wa kua mabingwa,goli la selemani mwalim z'bar wakalikataa na la waz kabisa,mungu hulipa ufedhuli mapema tuu.
Bacca achunguzwe naye kuna kitu kwa nini kila Yanga ikicheza na Azam makosa yanajirudia hayo hayo? Tumpe pole Rais wetu Eng. Heris anajitahidi sana kutuletea wachezaji lakini wachezaji wanamwangusha Bacca Bacca Bacca kama unatumika duuuu basi Yanga tumekwisha.
Uongo na upuuzi kumhukumu Baka
Ni kweli IB kala nyoya
Unajua mpira kweli wewe au unajua kuongea eti imeporomoka acha ujinga
Young Africans amejifelisha maksudi asikutane na Simba 🦁 final
Hiyo mijamaa imechoka
Coacher Hana uwezo wa kupanga timu.
Naomba tuwe watulivu huyu kijana asilaumiwe ni sehemu ya mchezo tumalize ligi ndipo tujue wapi tulipokosea kwa kuwaonyesha kanda hao tutakaobaki nao hili kujua makosa waliofanya wenzao yanga tuondoe nawazo ya kizamani tulikosea toka kwenye kusajiri wachezaji wajifunze kusali kabla ya mechi kila mchezaji kwa imani yake hayo ni naoni yangu
Shida wananunua mechi ila timu hamna apo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌 yanga
Messi yuko na miaka mingapi na bado anapiga hard trike? Wao waliwadunga sindano nyingi zilizosababisha kuwaumiza na kuwachokesha haraka,ukisema kucheza kwa muda mrefu ndio kuchoka utamzungumziaje chama kama ni ivo? Ukweli ni mazoea ya kubebwa mechi nje ya uwanja na sindano sasa hivi mwenye uwanja wake MAKONDA hataki huo ujinga ndio tunaona panapovuja sasa baada ya mvua kunyesha
Sikuzote wasiokubali ukweli ujue awajielewi yanga ya msimu huu imeshuka kiwango ukileta hoja mbona inaongoza ligi basi ujielewi au unajisaaulisha kua baadhi ya marefa ndo wameifanya iongoze na sio ubora pwnt tatu za zanzibar ukizikumbuka basi utakaa kimya
Kwahiyo nyie mkifungwa tu, MTU kauza mechi? Hebu kubalini kuwa yanga msimu huu mbovu. Acheni kuwaandama wachezaji