Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally atema Cheche kali kuhusu kuambiwa wnapanga na Timu Pinzani.ili wasichezeshwe Wachezaji muhimu,Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya Coastal Union,kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha.
Safiii semaji
Naomba namba ya huyo mdada wa upande wa kushoto aliyesuka
Kishai Nina Shaka na semaji cjui kama kakuacha salama haja katika 😂😂😂
Acha kerere bana
Uto wanacheza lini?
Ila semaji
Watajua tyuu hii Ndio simbaa
❤❤❤