Mnyama Simba ametinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Coastal Union mabao 4-0 katika mchezo mchezo wa nusu fainali uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha. Magoli ya mchezo huu yamefungwa na Libase Gueye, Nickson Kibabage, Rushine de Reuck kwa penati na Clatous Chama.
ADVERTISEMENT
yeyote tu aje tunamutaka hatubagui tunanjaaa kinoma
Simba unyama 🎉🎉🎉🎉
Best performance from the entire team so far👋👋
KUMBE MAREFA WAZURI TUNAOOO BILA RUSHWA KUHONGWA
Libasse akiacha ubinafsi tutafunga sanaaa
Goli la nne limetia uchungu kwa wachezaji wa coastal union😅
Kuhusu libase muulze shabalala me sina mengi
ishu yakusema my wetu huko kwenu bado inasikika?
Huyu refa amejitahidi sana hv watu km hawa huwa wanakuwa wapi?
Kwani LIBASE GUEYE anachezag namba ngapi 🙈🙈🙈🙈 na hii tunabeba tunamtak yule yule mshangaz wetu 🙈🙈🙈🙈 THIS IS SIMBA 💪
Jamani unceura Yuko wapi nampenda sanaaa
Ila rushine anajua kupga penat mwamba yan anapga kwa dharau sanaa
😂😂😂😂😂😂😂 aseee ww libase utalaza watu naviatu
Uzuri wa team ya simba anafunga yeyot😂😂😂😂
HII SIMBA KUNA MTU INAMYAFUTA 😂😂😂😂 ITAELEWEKA TU. UBAYA UBWELA PT2
Cha ajabu straika ndio muokota mipira ndani ya nyavu kuna maswali hapo
Mtaongea sana ila tambueni simba hatuna mfungaji mmoj yyt anashinda
Noma saana 😅
Ubayaaaaaaaaaaaaaa....!
Mnyama nang'ata ng'aaaaa