Alikuwa shujaa wa Cape Verde. Alionesha kiwango cha hali ya juu na kuchaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mechi katika sare ya 0-0 dhidi ya Hispania kwenye Kombe la Dunia la FIFA. Mafanikio hayo yalikuwa na maana kubwa zaidi kwa Vozinha kuliko ambavyo wengi wangeweza kufikiria. #bbcswahili #kombeladunia #fifa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
ADVERTISEMENT
Big up my brother 🎉 nice game.
Hongera J. Diaz... ❤
Hongera sana kwa goalkeeper huyu . We are proudly AFRICAN❤🇰🇪.
Amina ...Amina...Mungu ni mwema wakati wote❤
BIG UP, YOU ARE MEN OF THE MECH❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
Iv miaka 40 tayar ni mzee
amecheza vizur ila hana bahati umri umekwenda
Huyu mwamba ni mwamba kweli kweli⚘️⚘️⚘️⚘️
Kweli nilikuona airport mwanza sikuomba namba pls nittumie mimi nina mail
Followers wameshafika 12.6 million tayari
Ila huyu ana miaka zaidi ya 40
Tuendelee kuamini kwenye ndoto zetu
Acha uwongo, huoni carbon 14 inasema ana 50years.
Duu atari
Wezetu wanajitabua vemà sio ss nyumbu poli tanzania
Acha uongo kwani alikuambia
Acha umbea ndio alivyokwambia