Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo kati ya Simba SC dhidi ya Mbeya City ambapo Elie Mpanzu ndio amepeleka alama tatu unyamani. Simba imeshinda kwa goli 1-0 ndani ya dimba la Sokoine jijini Mbeya
Sign in to join the conversation
Simba inanifurahisha😂😅
Simba hatunakipa kabisa
Heri ya mwaka mpya Kwa wanasimba woteee❤❤❤
Alhamdulillah Rabillah Allah miinnah 🤲
Wachezaji Wa Simba bila ya Kuwakata Huwezi kuwakaba kabisa😂😂
Binafsi namuona kasali ni changamoto
Yanga walipata pointi ngapi Mbeya?Ukiropoka kuwa na kumbukumbu.
Simba raha sn km unafurahi ukishabikia sm gonga like
Wanatumia nguvu sana
Tuliotoka sokoine kuangalia hii mechi naomba like plz!!! 🎉🎉🎉🎉
Kwa kipa bado hatuna simba tunapitia wakat mgum sana
Chama akiwa uwanjani mechi hua nyepes sana
Nimelishuhudia hili goli uwanjani
🎉🎉🎉🎉 Eli
mzigo mwingine wa kuuacha simba ni inno bishoo
Luemba simba tunamsifu uwongo tyu wala sio mchezaj wakusaidia tim kwa lolote wala chochote.
Naombeni likes zenu 😂😂😂
Asante wanangu wa msimbazi kwa alama tatu
Nimetoka kuangalia highlights za game ya world cup alaf nkatudi kuchekii hii niseme tu african football is the best😅
Achana na GOAL ivi umeon PASS toka kwa CCC ? Daaah hii ndo SIMBA sasaaaa safi sana ELIE MPANZU pia umejua kuiwakalish 🇨🇩 kupitia staili ya KIDIABA
Simba inanifurahisha😂😅
Simba hatunakipa kabisa
Heri ya mwaka mpya Kwa wanasimba woteee❤❤❤
Alhamdulillah Rabillah Allah miinnah 🤲
Wachezaji Wa Simba bila ya Kuwakata Huwezi kuwakaba kabisa😂😂
Binafsi namuona kasali ni changamoto
Yanga walipata pointi ngapi Mbeya?Ukiropoka kuwa na kumbukumbu.
Simba raha sn km unafurahi ukishabikia sm gonga like
Wanatumia nguvu sana
Tuliotoka sokoine kuangalia hii mechi naomba like plz!!! 🎉🎉🎉🎉
Kwa kipa bado hatuna simba tunapitia wakat mgum sana
Chama akiwa uwanjani mechi hua nyepes sana
Nimelishuhudia hili goli uwanjani
🎉🎉🎉🎉 Eli
mzigo mwingine wa kuuacha simba ni inno bishoo
Luemba simba tunamsifu uwongo tyu wala sio mchezaj wakusaidia tim kwa lolote wala chochote.
Naombeni likes zenu 😂😂😂
Asante wanangu wa msimbazi kwa alama tatu
Nimetoka kuangalia highlights za game ya world cup alaf nkatudi kuchekii hii niseme tu african football is the best😅
Achana na GOAL ivi umeon PASS toka kwa CCC ? Daaah hii ndo SIMBA sasaaaa safi sana ELIE MPANZU pia umejua kuiwakalish 🇨🇩 kupitia staili ya KIDIABA