Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV Follow us on Social Media Platforms Instagram: Crown FM - https://www.instagram.com/crownfmtz/ Crown TV - https://www.instagram.com/crowntvtz/ Twitter (X): CROWN MEDIA SWAHILI: https://twitter.com/CrownMediaTZ CROWN MEDIA ENGLISH: https://twitter.com/CrownMediaEN Facebook: CROWN MEDIA: https://www.facebook.com/profile.php?id=61556920898213&sk=followers TIKTOK: - https://www.tiktok.com/@crownmedialive?lang=en SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: https://www.youtube.com/channel/UCWHlCJN-WTamGWp4E6ZrhsA
ADVERTISEMENT
Asante sana semaji hao waandishi huwa wanathibitisha uwongo ili kutuharibia wachezaji wetu wacheze vibaya mechi zilizosalia wachambuzi waache uwongo watuachie timu yetu mpaka tumalize mechi zetu
Jumaa ayo ujaluo unakurudia sana nikastuka . Sema nikashtuka
mbona simba alihama kutoka lsamuyo hamkumhoji acha ukuda juma ayo
Kwahiyo,Timu ikitaka mfano kusajili mchezaji toka Brazil,itabidi huyo mchezaji awe " huko Marekani anakipoga kwenye World Cup " hamna kitu hapo.
Hiyo nayo ni radio bonge???? SIYO KWELI
Redio hii unaunazi sana .shida timu Yao inahangaika na ubingwa.
Et kuna competitive!!
Ila juma ayo
Sio mpango mzuri timu dogo zitakosa mvuto na zitashindwa kusajili
Ali kamwe akili nyingi sana