#yangasc #yangatv #yangaleo #azamsports #mpenjatv #manaratv #mavalatv #ayomatv #scopemedia #spotikaonlinetv #Utvtanzania #battletv #Dafraonolinetv #kariakooderby #alikamwe #Maximumtv #M15tv #wasafi #wasafimedia #PmtvTanzania #Richmedia #CAFAwards #tetesizausajiliyanga #viralvideo #tetesizausajilisimba #mazoeziyayanga #yangatv #yangaleo #yanga #simba #simbaleo #simbatv #football #viralshorts #battletv #datasportstv #mbwaduke #yangascmedia #tanfootball #pecomezouzou #Wolfssportnews #Afcon2023 #tv3tanzania #millardayo #S500tv #uhondotv #mashwishwitv #diamonds #salamba
ADVERTISEMENT
Huyo Mzee zimeisha kichwani
Kwani hapo kamtaja nani?
Hapo lazima aweke deffensive mechanism maana kashafahamu kwamba kombe hachukui na kutukanwa na wanachama na wapenzi wa simba kuponkaribu sana
Ninyi siyo wachambuzi ni mambumbu tu,mnatufanya tupoteze utamu wa kuwasikiliza.
Muacheni t huyu mzee jaman mtu akizeeka akili huwa zinarudi utoto
Hiyo kauli ina maana kwamba Yanga ana ubora zaidi ya timu zingine ndiyo maana mangungu anaona kam a mechi rahisi zaidi kwake ni ngumu sana kwakuwa level inafanana sana na wao... simba
Mangungu yupo sahihi sana. Acheni maigizo. Tuliona Pamba kwa mara ya kwanza anapanda ndege kuja kucheza na Simba, huo udhamini umetoka wapi!! Kuna na mambo mengi tu yapo wazi yanayoendelea kuhusu Simba kuchukuwa ubingwa. "Ukiona Kobe yupo juu ya mti ujue kapandishwa. Yanga yupo kileleni kwa nguvu ya marefa.
mbona kuna msimu dakika za nyongeza bila kikomo mpaka simba ipate goli ndio mpira unaisha hili ngungu aka mambumbu haliongelei?
Hawa waandishi wamesomea hii kaz yao kwel?
Huyo Mzee ndiyo kiongozi Mwenye Tatizo la Afya ya Akili Pele Simba Hata Magori alimshitukia
siyalikua yanajua yanga atapoteza ponti?
Wacha mdomo mtangazaji. Twende ktka madam. Unatumalizia bando kwaumbeya.😅😅😅
Kwani kuna nini cha ajabu hapo, yeye amesema wengine wanafanya maigizo lkn hajataja timu, halafu mbona mnawekea maneno mdomoni? Ametaja wapi yanga? Maandiko yanasema kimtokacho mtu ni kile kiujazacho moyo wake.
Bange huwa haiishagi kichwani eti kwa sababu umezeeka!
Mimi nafikiri kiongozi kama huyu akustahili kuzungumza hivi
Anajua wanachama wake na mashabiki wake ni mbumbumbu hata akiongea mbovu wanamuelewa.wengine ndo kama hawa waliokoment hapa wanamuteatea
Achen uongo Kwani apo ameitaja timu gani
Fundi mangu hupiga msumali Kwa mkun SI ajabu.😂😂
Kwani kataja timu kwa majina.acheni kutafasiri kwa mawazo yenu.
TATIZO LA WANADAMU HAMPENDI KUAMBIWA UKWELI, ILA UKWELI UNAUMA ,