#NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya NBC Premier League kati ya Simba SC dhidi ya Pamba Jiji FT: Simba SC 2-1 Pamba Jiji Magoli ya Simba yamefungwa na Elie Mpanzu na Libasse Gueye huku goli la Pamba Jiji likifungwa na Mathew Momanyi. #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #SimbaVsPambaJiji #SimbaSC #PambaJiji #SimbaPamba
ADVERTISEMENT
Asanteni simba
Ambao hatujarizika na kuangalia mechi live bado tupo na marudio tena 😄😄😄 SIMBA NGUVU MOJA
Simba bingwa❤❤
Hansi penalt ya wazi unawanyima simba offside 2 unainyima simba dah Mungu anawaona
Libase should be man of the match
Onside zote zinakuwa offside yn haya ni matatizo makubwa sana na mchezaji anachezewa rafu ndani ya box mbele ya refa na refa anakausha , Du! tuna mwendo mrefu sana
Ila goli la hawa madogo ilikuwa faulu cijui kwanini inakuwaga cc tu tunaonewa
Ata mechi ya kwnza kule mwanza mpanzu alinyimwa penart kipndi chapili ipo iv simba na pamba wakicheza malefa wanakua wameandaliwa ila pamba Anampila wakupishana. Na simba ila pamba wanajua tupo kwa msada wanani Bingwa mzuli niyule Anaevuja jasho Uwanjani nasio kununua malefa kwa tim zengine ili upate ubingwa kilahisi
Ndo naangalia marudio jana cjaangalia mpira kabisaa simba nguvu mojaaaa
T A K U K U R U Wako wapi?Clear hii mechi ilichezwa nje ya uwanja ,lakini quality ya Simba ndiyo iliyoamua .
Refa wa hovyooo kabisa
Asnateni Marefa Ila IPO siku muta tambua umuhimu WA kutenda Haki kweny majukumu yenu Wallahi IPO siku mutaona Faida na hasara yake 🙏🙏🙏🙏😊
Mpanzu asingekuwaga mchoyo angekuwa ni mchezaji mzuri sana
Refa washika vibendara walipewa maelekezo simba isifunge,offside za mchongo kwa upande wa simba kibaya zaidi penalty imekataliwa
Waamuzi wetu warudishwe shuleni
Hivi hawa Pamba bado wanatumwa na kupewa bonus na yule Mheshimiwa waifunge Simba?
Ukipenda kuona game intensity uhone Simba ikicheza
Mara zote mechi za Simba ndio mechi pekee zenye kuonyesha maana halisi ya ligi
😂😂😂😂😂😂😂😂acha tu nicheke maana haya matukio waliyotukia kwa wachezaji wa Simba ndo wangekua wamepata timu fulani aiseeè......nahisi game ingeisha 5-1
Wachezaji wa mpira wana kazi ngumu sana mengi wanayoyaonyesha watu wa soka hawayatambui, Goli la kusawazisha ni goli lilitumia akili nyingi sana ila halitazungumziwa. NBC Pima Ligi