FRIJI BOVU APAGAWA NA USHINDI WA SIMBA, MPANZU NA LIBASSE GUEYE WANA BALAA SANA #live #azamfc #footballclub #globaltvonline #millardayo #simba #simbasc #wasafi #yanga #football
Kante alifanyiwa faulo acha hizo issue mzee,ingawa kante sio quality ya simba
E
eshana.modi1Β month, 2Β weeks ago
Kweli kaka devd huwa unaongea ukweli simba kwetu kila mechi ni fainal
claude.renard1Β month, 2Β weeks ago
Leo pamba Jiji wamecheza sana rafu mechi ilikuwa ngumu sana tunashukuru mola kwa ushindi
M
matthewpalmer7201Β month, 2Β weeks ago
Sote kubalina simba sc chini Steve barke prove tofauti fadru devis meatch nyingi pressure alikuwa nashidwa because unaona simba sasa atakama fungwa unaina timu imetulia afanyi makosa kujurudia
E
eshana.modi1Β month, 2Β weeks ago
Wanasimba tunatakkiwa tujue Kila mechi tunayo kutana nayo tusiizalau iwe kama fainali tuna maadui wengi sana kwahiyo wao waacheni waweke pesa zao wanazo ahidi kikubwa ni kupambana tu kujituma kama wanavyo jituma wao wakicheza lafu nawao hivyo hivyo tu ubaya ubwela
Inshaalla friji Mungu akuoneshe njia Inshaalla wewe na sisi sote.
virginiedelta141Β month, 2Β weeks ago
Yanga huahidi kwamba umiza Wednesday pasa hii chukua.Ndiyo maana "Internationally hoii bin hoi.
abigailbrown4821Β month, 2Β weeks ago
Ni kweli kabisa Simba ndiyo inacheza Ligi kuliko Timu nyingine Kwa kweli kama Kupata Ubingwa halali ndiyo hivi basi ligi itapoteza mvuto Simba ilinyimwa goli pamoja na baadhi ya Marefa kutozingatia Sheria 17 zitafanya tukose Bingwa halali
Kante alifanyiwa faulo acha hizo issue mzee,ingawa kante sio quality ya simba
Kweli kaka devd huwa unaongea ukweli simba kwetu kila mechi ni fainal
Leo pamba Jiji wamecheza sana rafu mechi ilikuwa ngumu sana tunashukuru mola kwa ushindi
Sote kubalina simba sc chini Steve barke prove tofauti fadru devis meatch nyingi pressure alikuwa nashidwa because unaona simba sasa atakama fungwa unaina timu imetulia afanyi makosa kujurudia
Wanasimba tunatakkiwa tujue Kila mechi tunayo kutana nayo tusiizalau iwe kama fainali tuna maadui wengi sana kwahiyo wao waacheni waweke pesa zao wanazo ahidi kikubwa ni kupambana tu kujituma kama wanavyo jituma wao wakicheza lafu nawao hivyo hivyo tu ubaya ubwela
ππππππππ Mdebwedo πΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈ
Inshaalla friji Mungu akuoneshe njia Inshaalla wewe na sisi sote.
Yanga huahidi kwamba umiza Wednesday pasa hii chukua.Ndiyo maana "Internationally hoii bin hoi.
Ni kweli kabisa Simba ndiyo inacheza Ligi kuliko Timu nyingine Kwa kweli kama Kupata Ubingwa halali ndiyo hivi basi ligi itapoteza mvuto Simba ilinyimwa goli pamoja na baadhi ya Marefa kutozingatia Sheria 17 zitafanya tukose Bingwa halali
Malefa Wana pewa ongo
Firiji bovu Leo unadanganya tumetazama mpira na wewe ni mshabiki WA simba
Mitano tena David
Wachambuzi wa bongo niwanafiki sana Kazoo Fiji Leo refs Alicia GSM you
Mwamba mdaaa sijakusikiaaa
Simba piga pamba hapo na ahadi zao