Minyiri ya YANGA iko wazi kwenye ligi ya Tanzania. Ila mwenye minyiri anajidanganya, maana ukubwa wa timu huonekana nje ya Tanzania. Asante kisugu unatufundisha mengi.
B
brendanhollow271 month, 2 weeks ago
Nakubali sana mzee wa data
L
laurie.morgan1 month, 2 weeks ago
Ahsante kwa uchambuzi bora
J
jacqueline.long1 month, 2 weeks ago
Leo umechambua vzr San
J
jacquelinesanchez8701 month, 2 weeks ago
Hapa unaona kulikuwa na maelekezo ya kuumiza wachezaji wa Simba .. Angalia yule jamaa wa Pamba kaingia tu akala Card ya njano kwa libase .. tena akafanya kwa Aura mwamuzi akapeta na hii ndio ilikuwa mbaya mbaka aura katoka nje
joseph_guerrero1 month, 2 weeks ago
Big up sana mzee wa Data
joshuachen2821 month, 2 weeks ago
Ansante kwa uchambuz bor
J
joanne.rose1 month, 2 weeks ago
REFA WA KOMBE LA DUNIAA HUYU ANASTAHILI KUCHEZESHA MECHI
A
agathe_prévost1 month, 2 weeks ago
hao ndo waamuzi wetu wa bongo wanaingia uwanjani wamebeti Ili mikeka Yao itiki marefa wetu wanabeti aminini nacho wambia
B
bradley.page1 month, 2 weeks ago
Ni vzr sana SIMBA kukamiwa na kila timu wanavyoikamia ndivyo SIMBA anakomaa vzr na benchi la ufundi linakuwa na mbinu nyingi hii itawasaidia SIMBA kwenye club bingwa maaana wachezaji watakuwa wanajituma sana big up kwa hilo na SIMBA wasitegemee refa hatawanapofanyiwa faulo maaan marefa nao hawaoni hayo
R
rebeccareynolds8951 month, 2 weeks ago
Hapa unaona kulikuwa na maelekezo ya kuumiza wachezaji wa Simba .. Angalia yule jamaa wa Pamba kaingia tu akala Card ya njano kwa libase .. tena akafanya kwa Aura mwamuzi akapeta na hii ndio ilikuwa mbaya mbaka aura katoka nje
O
océane.blin1 month, 2 weeks ago
Reference nae familiar leo 😂
C
colleen_woodard1 month, 2 weeks ago
Tz bila bahasha😢
judithdrift461 month, 2 weeks ago
❤❤❤❤
O
océane.blin1 month, 2 weeks ago
Refer Alikua Amebeti😢😢
G
garytaylor191 month, 2 weeks ago
together simba
D
daniela_campos1 month, 2 weeks ago
UFAFANUZI Aliyeifungia Simba bao la kwanza ni Elie Mpanzu, siyo Oura. By Mhariri - Mbwaduke Stats 'Spoti Next Level'
A
ayushman.chaudry1 month, 2 weeks ago
Bahasha imegoma
pedrolucas.abreu1 month, 2 weeks ago
Washauri bodi ya ligi kuendana na muda ,saa hii watu wako busy na world cup ,ligi ya nyumbani imebaki haina mwenyewe ,kwanza tunatia aibu sisi wa mwisho mwisho Kila kitu
D
damien_davies1 month, 2 weeks ago
pia agenda kulimit idadi ya magoli kwa simba,,refa wa jana km sio mapenz yake basi vyote viwili ,bahasha na mahaba ya nyuma mwiko,,,ni mtazamo tu
Minyiri ya YANGA iko wazi kwenye ligi ya Tanzania. Ila mwenye minyiri anajidanganya, maana ukubwa wa timu huonekana nje ya Tanzania. Asante kisugu unatufundisha mengi.
Nakubali sana mzee wa data
Ahsante kwa uchambuzi bora
Leo umechambua vzr San
Hapa unaona kulikuwa na maelekezo ya kuumiza wachezaji wa Simba .. Angalia yule jamaa wa Pamba kaingia tu akala Card ya njano kwa libase .. tena akafanya kwa Aura mwamuzi akapeta na hii ndio ilikuwa mbaya mbaka aura katoka nje
Big up sana mzee wa Data
Ansante kwa uchambuz bor
REFA WA KOMBE LA DUNIAA HUYU ANASTAHILI KUCHEZESHA MECHI
hao ndo waamuzi wetu wa bongo wanaingia uwanjani wamebeti Ili mikeka Yao itiki marefa wetu wanabeti aminini nacho wambia
Ni vzr sana SIMBA kukamiwa na kila timu wanavyoikamia ndivyo SIMBA anakomaa vzr na benchi la ufundi linakuwa na mbinu nyingi hii itawasaidia SIMBA kwenye club bingwa maaana wachezaji watakuwa wanajituma sana big up kwa hilo na SIMBA wasitegemee refa hatawanapofanyiwa faulo maaan marefa nao hawaoni hayo
Hapa unaona kulikuwa na maelekezo ya kuumiza wachezaji wa Simba .. Angalia yule jamaa wa Pamba kaingia tu akala Card ya njano kwa libase .. tena akafanya kwa Aura mwamuzi akapeta na hii ndio ilikuwa mbaya mbaka aura katoka nje
Reference nae familiar leo 😂
Tz bila bahasha😢
❤❤❤❤
Refer Alikua Amebeti😢😢
together simba
UFAFANUZI Aliyeifungia Simba bao la kwanza ni Elie Mpanzu, siyo Oura. By Mhariri - Mbwaduke Stats 'Spoti Next Level'
Bahasha imegoma
Washauri bodi ya ligi kuendana na muda ,saa hii watu wako busy na world cup ,ligi ya nyumbani imebaki haina mwenyewe ,kwanza tunatia aibu sisi wa mwisho mwisho Kila kitu
pia agenda kulimit idadi ya magoli kwa simba,,refa wa jana km sio mapenz yake basi vyote viwili ,bahasha na mahaba ya nyuma mwiko,,,ni mtazamo tu