Kuelekea mechi ya Tarehe 13.6 ,kauli ya Julio ni hii. ποΈJULIO, Mashujaa FC. π£οΈ"Simba SC wao wana safu kali ya kushambulia kuliko Yanga SC, Yanga SC kwangu ni timu nyepesi Kabisa ila bado nawaheshimu, Dube ni mchezaji Opportunist sio Fighter, Pacome ana kokota vizuri, Mudathir ni mjanja mjanja, Ukiwawekea watu wa kuwakaba vizuri hawachezi, Goli 5 sio kwa Julio."- Jamhuri Kihwelo 'Julio' Head Coach Mashujaa FC. π£οΈ"Yanga SC wanajua Kabisa wanaenda Kucheza na Kocha anaejiamini sana, sasa nilivyojiamini wakati ule na Simba SC ndivyo hivyo hivyo ninavyojiamini kwa Yanga SC."- Julio.
ADVERTISEMENT
ππππππππmakolo bana
Alikamwe kazi kwako πππ wape vijana hii clip chapppp
Okelo na pakome ameshaonyeshwa hii clip tusilaumiane julio
Mmh
Ali Kamwe usisahau lieatumia wanajeshi wetu halaa ka mdomo
Na GSM hiyo behani ambaye mdhamini.wenu ni mmoja
Kuwa makin na hayo unayoya ongea maana hamucherewi kupoteana
Kichapo ni palepale. Tambo hizo , zitakuondoa tena.
UMEUONA WEPESI WA YANGA BWEGE WEWE??
Alifukuzwa Namungo kwa kuisifu Simba Huyu kiumbe utadhani kitoto anaye jifunza kusema Kweli huyu ni Kocha anaye sifu Timu nyingine kuliko anayo fundisha Mfukuzeni hafahi
Yanakuponza maneno unajuwa ukizeeka akili inarudi utottoni Unaongelea Simba kwa kuwa ww ni Simba kocha uchwara ww Jin's unavyozeeka na akili inazidi kukutoka mzee maneno ya hovyo mda wte