Mpira umeanzia kwa Djigui Diarra, ukaguswa na Prince Dube kisha Mudathir Yahya akaupokea kwa umahiri na kuujaza nyavuni. 41’: Mashujaa 0-1 Yanga
Sign in to join the conversation
Goli lamana sana
Sasa jee❤❤
Kocha julio ana mdomo sana
Bonge la goli
🔥🔥🔥
Hf I'm on
Lina uzuri gani sasa hilo goli
Bonge la bao
Bonge la gori la msimu semeni sasa 😂😂😂
Linaitwa Mwana Ukome unaudakaje mpila kama huo ni m1 kat ya magol Bora yaan ni bonge la bao!
Safii sana wapambanaj 🎉
Goli lamana sana
Sasa jee❤❤
Kocha julio ana mdomo sana
Bonge la goli
🔥🔥🔥
Hf I'm on
Lina uzuri gani sasa hilo goli
Bonge la bao
Bonge la goli
Bonge la gori la msimu semeni sasa 😂😂😂
Linaitwa Mwana Ukome unaudakaje mpila kama huo ni m1 kat ya magol Bora yaan ni bonge la bao!
Safii sana wapambanaj 🎉