#NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Yanga SC ikiwa ugenini dhidi ya Mashujaa FC. Mechi imepigwa katika dimba la Lake Tanganyika Kigoma. Magoli yamefungwa na Mudathir Yahya na Bakari Mwamnyeto FT: Mashujaa 0-2 Yanga #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MashujaaVsYanga #Mashujaa #YangaSC #MSHYNG
ADVERTISEMENT
Mungu ibariki yanga
Ahsanteni sana wanayanga wa kigoma. Hakika mmejuwa kuisapoti timu yetu.
DEPU STRIKER FORCE....
Uwanja wa Yanga umekamilika kabla ya basi la simba halijaja
Watu tunawaza world cup 🎉eti tz ligi bado inaendelea kweli inchi yangu bado sana 😂yanga bingwa
Yanga laaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉
Yanga bingwa 💚💚💚💚💚💚💚
Bingwa anaonekana kwa mbaali...
Kocha awe anampa depu dk 90 ni mshambuliaji mzuri.
hii team au Ai Kila litu inajua💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛
Mlinda mlango wa mashujaa🔥
Gonga like za kutosha kama unamini Yanga bingwa mara 5 mfululizo...
Kombe tunalitaka🎉🎉
KWELI AZAM MNAUPENDELEO MAPEMATU MSHAIPANDISHA HIGHLIGHTS YA MECHI YA YANGA INGEKUA SIMBA MNGE ONYESHA MAGORI TU HAKAFU HIGHLIGHTS INGEPATIKANA JUMATATU TENA JIONII.
Goli zuri sana
Wananchi haoooo
Yanga bingwa
Jamani huyo mchezaji wa mashujaa nae akageuka kuwa kipa😂
Goli la mda ni Bora sana
Mnazingua upande wa Azam Max aisee