WHOZZY kaandika.historiya mpya. Kwa WEMA .pendane mungu anawapemda kawazawadia tundra nzuriβ€β€β€β€β€ππππ
graham_harvey1Β month, 3Β weeks ago
Mungu ninakushuru kwa ajili ya wema β€β€β€ na ninakuomba uwakumbuke wanawake wote wanaolilia uzao ππππππ Auntie thank you for being there for her!!!!!
franz-xaver_scheel1Β month, 3Β weeks ago
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya dada Wemaπβ€β€
H
hakanhenk7471Β month, 3Β weeks ago
Petty rafik wa kweli naye piππ
hannahrichardson8561Β month, 3Β weeks ago
Mwenyezi Mungu amkuze awe na afya njema na awe mtoto mwema amwepushe na macho ya husda inshallah Mungu atamlinda na malaika wake Ameen. Hongera sana mwanangu Wema
M
marie_austin1Β month, 3Β weeks ago
Aunt Ako na upendo aiseeπ’π’
B
bertrand_charpentier1Β month, 3Β weeks ago
Mungu wewe ni Mwaminifu sana asante sana Mungu kwa kumpa haja na moyo wake na mlinde huyo mtoto wakati mwingine anafanya makosa ukawe mdhamini wake kila hatua
HONGERA sana aunty! Naona umefurahi hadi unalia . HONGERENI sana watoto Wazuri Allah azidi kuwabariki na UZAO wenu π€²π½
Aunty she's really a true sister π’ππππππβ€β€β€β€
eti najikuta nalia kwa furaha nyie huyu Mungu hakuna wakufananisha naye Mungu ni mkuu sana
Ama kweli kwenye maisha kila kitu kina wakati wake kikubwa ni subira tu
Hongera sana Wema Ant you have a pure heart β€
WHOZZY kaandika.historiya mpya. Kwa WEMA .pendane mungu anawapemda kawazawadia tundra nzuriβ€β€β€β€β€ππππ
Mungu ninakushuru kwa ajili ya wema β€β€β€ na ninakuomba uwakumbuke wanawake wote wanaolilia uzao ππππππ Auntie thank you for being there for her!!!!!
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya dada Wemaπβ€β€
Petty rafik wa kweli naye piππ
Mwenyezi Mungu amkuze awe na afya njema na awe mtoto mwema amwepushe na macho ya husda inshallah Mungu atamlinda na malaika wake Ameen. Hongera sana mwanangu Wema
Aunt Ako na upendo aiseeπ’π’
Mungu wewe ni Mwaminifu sana asante sana Mungu kwa kumpa haja na moyo wake na mlinde huyo mtoto wakati mwingine anafanya makosa ukawe mdhamini wake kila hatua
It's so emotional π’ β€ Hongera sana Wemaπ
Hogera sana kipenzi mungu akulindie na akukuzie uzao wakoππ
Nami nalia jaman
Aunty ni rafiki wa kweli Mungu akulinde sana auntyβ€β€β€β€
Mungu ni Mwema Always β€β€β€β€β€β€ Hongera Wema
Hakika mungu yupo na anajibu kwa wakati hongera sana Wema mungu akutunze na mtoto na mume wako tunazidi kukuombea
Kwer hakun mtu mgumba ila tu kua na subra mungu yupo jamanπ
Alhamdulilah Alhamdulilah Alhamdulilah π