Burudani imerejea rasmi! Baada ya subira ya muda mrefu, msimu mpya wa tamthilia unayoipenda ya Ashura Kiuno Season 2 umerudi ukiwa na nguvu mpya, visa vya kusisimua, na majibu ya maswali yote yaliyobaki kwenye msimu uliopita. Kwenye episode hii, mambo yanabadilika kabisa na kukua kwa kasi. Je, Ashura atafanikiwa kuvuka mawimbi haya mapya? Ungana na timu nzima ya waigizaji wakali na vipaji vipya vilivyoshirikishwa msimu huu kukuletea burudani halisi ya Kitanzania. Usisahau KUSUBSCRIBE, kulike, kucomment na kushare na washkaji ili usipitwe na mwendelezo wa tamthilia hii tamu! #AshuraKiunoSeason2 #SwahiliMovies #Tamthilia #BongoFilamu #TeamDoko #TrendingTanzania #ShortFilm2026 #Burudani #FilamuZaKiswahili #ComedyTanzania
ADVERTISEMENT
😂😂😂😂😂😂 nataka uchekeee 10:20
Team Doko naombeni likes zenu jamani
Baba bulee wew 😂😂aah ashura umejuwa kunichekesha
😂😂😂😂😂😂 ila ashura kiuno kamnyosha fundi
Cheka kidogo 😂😂😂🎉🎉
Ila ashura 😂😂😂😂unatish sn mama❤❤❤
Kazi zuri saan 🎉🎉tuko pamj kilahatua
🤣🤣🤣🤣 mama mama yako🎉🎉🎉🎉🎉
Ashura kiuno umejuw kunifurahsha leo sema ninachowapendea mnasaidia kwanza kazi ndo kichambo kinafuata😂😂😂😂😂
Kikaoo😂😂😂
Nataka kumu ona mfinanga depuis congo rdc lumbumbashi Ndoko nous t aimons
Good
Wa kwanz kutok arusha 😢😢😢🎉🎉🎉
😂😂😂😂 ashura kiuno asante kutueshimisha wanawake wezio
tunaonba EP 4
Oya wanangu nilcherewa ila bado tupo pamoja tim doko 😂😂😂😢
Kazi nzuli sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uyo ndo shat ebu shekh wng cheka bc 😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
Naenjoy sana ashura kiuno afu mfinanga mbona hayupo
wenye tunatak mfinanga atokezee gonga like