GLOBAL TV IMETEMBELEA ENEO la UJENZI wa UWANJA JANGWANI na HII NDIYO HALI ILIVYO - MSUMI ATOA NENO.. ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 45136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
ADVERTISEMENT
Vyura stadium sc hakuna uwanja hapo shimoni
Hatutaki eneooo tunataka uwanjaaaa😂😂😂😂😂
Demu mzuri sana huyo mtangazaji
😂😂😂😂😂 uwanja 😂😂😂😂 unanichekesha hapo hakuna kitu
Mtangazaji mbona husemi sehemu ganiiiii???
Mzee Msumi ni ndugu yake Binti Msumi
😂😂😂😂UCHAGUZI MKUU
Wachina salute watafanya kazi nzuriii
Hilo ni tope , hata mm nachimba site yangu mwenge sina Kwa kupeleka udongo naenda kumwaga hapo jangwani ndio huo udongo mweusi wa mfinyanzi, hamna kifusi kilichoagizwa hapo huo ni uongo
Ha ha ha ha ha kazi kweli kweli 😅😅😅😅😅 si unatoa hilo tope unajaza udongo. Kma gorofa tu tunachimba sasa hapa ni kicheko 😢😢😢😢
😂😂 kifusi au matopee hayoo 😂😂😂
Mimi naushauri wafuge samaki kambale 😂😂😂
Kifusi😂😂😂
Kwa mkopo halafu GSM anatathmini mali zenu halafu 50/50 kwa mali zenu 😂😂😂😂😂
👏🤝✊👍🤜🤗👏🤣🤣🤣🤣🤣
Tutakuwa tukicheza huku tuna ogelea na mashabiki wetu vyura kwenye maji
Dada yangu angalia hapo manyoka unakwenda tu angalia usipigwe na nyoka 😂😂😂😂 Leo jamani ni mecheka sana .😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wawa achie vyura watawale wakiongozwa nakambar