Jean Jaques Ngita na Jephte Kitambala Bola wameipa Azam FC magoli mawili muhimu ugenini wakiondoka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha dhidi ya Fountain Gate FC.
Haya hapa magoli yote mawili...
ADVERTISEMENT
Comments 8christina.lewis:
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu m…
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI ( Yohana14:6, Warumi10:9-10).
S
sierrahayes2171 month, 3 weeks ago
Hiii mechi sema 😂 hii bora nyamaze 2
R
robert.maldonado1 month, 3 weeks ago
Hii ni mechi sio 😂😂😂😅😂😅😂😂😅😂😅😂😅😂😅😂😂😅 ila Tamthilia zetu😅
babyberry1 month, 3 weeks ago
Wanaumeeee🎉🎉🎉🎉
revadawn741 month, 3 weeks ago
Yaan azam inachez chin y kiwang nami ibenge sijawah muelew nakikosi chake had msimu kuelekea mwishon hana first eleven,kwan Akaminko nimajeraha au nongwa za kocha? Nakuanzia dak y 65 tukaw twacheza ilimlad
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI ( Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Hiii mechi sema 😂 hii bora nyamaze 2
Hii ni mechi sio 😂😂😂😅😂😅😂😂😅😂😅😂😅😂😅😂😂😅 ila Tamthilia zetu😅
Wanaumeeee🎉🎉🎉🎉
Yaan azam inachez chin y kiwang nami ibenge sijawah muelew nakikosi chake had msimu kuelekea mwishon hana first eleven,kwan Akaminko nimajeraha au nongwa za kocha? Nakuanzia dak y 65 tukaw twacheza ilimlad
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
ilikuwa mechi ya kibabe kweli......ongeraa azam
Mmmh match fixing