Jean Jaques Ngita na Jephte Kitambala Bola wameipa Azam FC magoli mawili muhimu ugenini wakiondoka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha dhidi ya Fountain Gate FC. Haya hapa magoli yote mawili...
ADVERTISEMENT
Comments 8
Sign in to join the conversation
Sign in
Hiii mechi sema 😂 hii bora nyamaze 2
Wanaumeeee🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yaan azam inachez chin y kiwang nami ibenge sijawah muelew nakikosi chake had msimu kuelekea mwishon hana first eleven,kwan Akaminko nimajeraha au nongwa za kocha? Nakuanzia dak y 65 tukaw twacheza ilimlad
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI ( Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Mmmh match fixing
Hii ni mechi sio 😂😂😂😅😂😅😂😂😅😂😅😂😅😂😅😂😂😅 ila Tamthilia zetu😅
ilikuwa mechi ya kibabe kweli......ongeraa azam