Kwanini Afrika iliishangilia Mexico dhidi ya Afrika Kusini katika mechi ya Kombe la Dunia? Baadhi ya mashabiki barani Afrika waliamua kuishangilia Mexico dhidi ya Afrika Kusini (Bafana Bafana) katika mechi ya ufunguzi ya Kombe la Dunia 2026 kama njia ya kupinga chuki na mashambulizi ya kibaguzi dhidi ya wageni. Je, michezo inapaswa kutenganishwa na siasa na migogoro ya kijamii au haya ndiyo matokeo ya kile kinachoendelea Kusini? #bbcswahili #mexico #afrikakusini Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
ADVERTISEMENT
Nilijisahau Jana sio sirry nishangilia south Africa ila baadaa ya kutazama BBC Leo nimekumbuka daah nilikosea sana
Mimi furaha yangu American. Itorewe mapema
Afrika kusini naAmerika waandolewa tu kwa awam ya kwanza
ilitumika tu kama njia ya kufikisha ujumbe kwa watawala wao shida sio timu, ilitumika kama kubebea ujumbe.
Kina Walter Sisulu,Chris Hani na Askofu Desmond Tutu wakiamka ghafla watashangaa kimetokea nini South Africa?
Very true
TUMEFURAHI SANA
Nilisha sema mtu ukiumiza watu tegemea nawewe kuumizwa
Wapumbavu hao wamejitenga wenyewe
Safi sana
Safi sanaaaa
Safi sana wafungwe tu
Vile inafaa😊
Nimefurahi pia
Nilitaman south afrika wafungwe goli mia. Lakini Wakafungwa mbili tu. Nimeumia sana
Mimi ni Muafrika Niko Zanzibar, niliangalia game hii vizuri, ila niliomba sana Africa kusini, ifungwe, kwa ubaguzi wao dhidi ya wageni nchini kwao.
Na bado watafungwa sanaa
Ukweli ni kwamba kuficha hisia ni jambo gumu sana na haiwezi kufichwa na scope Wala mazingira yoyote.
No bora sana
Haya mambo ya siasa yanaenda kuharibu mpaka michezo sasa kitu kibaya sana