MIRAJI|MOSES PHIRI NA BALEKE ✅️YANGA WANAMTAKA MODIBA|BAKARI MSIMU HACHEZI SIMBA MIAKA 2|SOUTH
ADVERTISEMENT
Comments 8
vanessa_carlson:
Mdau walimchezeshaa winga lkn asili akee sioo winga n bekii…
More Like This
25:55
KABWE AIBUKIA SAKATA LA NEO MAEMA KUMALIZANA NA SIMBA
Sports
97
10
0:30
Ronaldo Joined Her Celebration 🥹
Sports
6.5k
71
0:22
Sha'Carri Richardson's Boyfriend Reaction Was PRICELESS! ❤️🇺🇸
Sports
14.3k
0
2:46
A Random Guy Sitting In The Crowd Actually Got Pulled Up To Fight And It Was Wild😳
Sports
18.9k
100
0:27
Darwin Names his KING of Liverpool 👀👑
Sports
4.6k
0
0:41
The most naturally talented player Scholes played with... 😍
Sports
815
23
0:30
So good. #nfl #football #viral #superbowl #cfb
Sports
154.9k
0
0:14
Bisiwu ➡️ Casadó ➡️ Adeyemi #fcbarcelona #shorts
Sports
23.9k
100
You've reached the end
Mdau walimchezeshaa winga lkn asili akee sioo winga n bekii wa kuliaaa
Watu wa mpila Mungu awape wepes
South watoke tu
William amna kitu mule anachoma sanaa kwenye timu ya taifa Miraji yule jamaa anakitu golini
Miraji uko sahihi kabisa ,timu ya south africa level yake ni kama ya kuleta ushindani kwenye Afcon na sio World Cup kutokana na kutokua na wachezaji wengi kutoka kwenye vilabu vya mataifa tofauti tofauti
Wale wamehukumiwa na umli wale mexico wanaumli mdogo
Yani sisi tuna tazama mbele we una leta za uzeeni
WANAYANGA, huyu miraji tunamkubali Sana Ila huyu anaweza akawa anatumika sasa kueneza propaganda zinazovunja moyo wachezaji wetu hata wakati huu wa pressure kubwa kwa kutaja wachezaji kuwa wanaachwa hii inaweza kuonekana kawaida Ila inaweza kuwa na matokeo Hadi makubwa hasa kipindi hiki timu haitakiwi kudondosha point 1. Viongozi yanga wawajenge wachezaji wetu kisaikolojia ili molali ibaki juu 2. Huyu mwamba anatakiwa aambiwe aache izi Mambo maana kama unasema MWENDA anaachwa unafkiri morali anatoa wapi uwanjani Alafu jamaaa anaongea kidogo tu utazani hajasema kitu haongei Sana ili msijali Sana Ila athari zake ni kubwa sana. Hii ni akili kubwa na kuna wachora ramani nyuma