Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV Follow us on Social Media Platforms Instagram: Crown FM - https://www.instagram.com/crownfmtz/ Crown TV - https://www.instagram.com/crowntvtz/ Twitter (X): CROWN MEDIA SWAHILI: https://twitter.com/CrownMediaTZ CROWN MEDIA ENGLISH: https://twitter.com/CrownMediaEN Facebook: CROWN MEDIA: https://www.facebook.com/profile.php?id=61556920898213&sk=followers TIKTOK: - https://www.tiktok.com/@crownmedialive?lang=en SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: https://www.youtube.com/channel/UCWHlCJN-WTamGWp4E6ZrhsA
ADVERTISEMENT
Hey guz mamelod toka wachukue ubigwa 2016 mbaka 2026 wametumia pesa nyingi sana usisemeivyo kama unataka ushindani izo kwenye football pesa ndogo mno kukopea na west sawa acha watu wawekeze
Acha ujinga HANS,unasema Yanga,Wana matumizi mabaya ya fedha -- una ushahidi Gani --- wewe ni mkaguzi wa mapato na matumizi ya fedha -- Kuna vitu vingine " mnajadili ktk viwango vya kitoto sana " mna boa sana,sometimes.
UKWELI SIMPENDI HANS ANAJIONA WAMAANA SANA WAKATI NI MLUGALUGA TU
Matumizi mabaya ya pesa sio yanga tu ni Tanzania 🇹🇿 sehemu nyingi Waandishi wa habar na watanzania wengi tunapenda siasa sana kuliko uwalisia ilikuwa mushajiandaa kwa hili
Unatutafutia wewe???
Jemedar unajua mpira Ayo namuona anakulupuka eti All Ahally ananyemelea.
Hans umeongea point sana
Huyu anapovunja ndo anapotengeneza kibarua 😂😂😂
Pesa yako !?
Kwa ni rapha unautajili kiasi Gani mbona unazalilishwa kila Leo studio wewe unamatumizi mazuri ya pesa funguwa studio Yako upunguze kuzalilishwa
Namimi naungana na Hansi baba germe nilijua amna kitu
Ivi juma mbona chenga sana
BILA KUIONGELEA YANGA VIBAYA HAMUEZI KUTREND SIO
Hans, unaongelea Manchester United kitu ambacho ni tofauti na timu za Tanzania. You are comparing the impossibles.
Huyu Ashraf ni kigeugeu juzi kati taarifa za madeni zilipotoka alisema amefanya utafiti Yanga hawadaiwi walishalipa ila FIFA walichelewa kurekebisha kwenye mfumo.Leo hii kila kitu kiko wazi sasa sijui huo utafiti aliufanyia wapi na taarifa alizitoa kwenye source ipi? Hans naye ni mnafiki sana huwa anasifia kila usajili Yanga wanaofanya sasa hivi wachezaji wameshindwa ku-deliver kawageuka Yanga Hans alikuwa anawasifia Yanga wana viongozi vijana na watu wa mpira na aliwananga Simba kwamba wanahitaji damu changa kwenye uongzi leo hii story imebadilika hajaalikwa tena kwenye supu? Hivi yule aliyetoa mfano kuwa Simba wana-poor governance huko aliko anajiteteaje ?
Kama ni matumizi mabaya ya pesa wamerithi kutoka kwa Serikali ya sasa hivi ndio wanaongoza kwa matumizi mabaya ya pesa. Vile mnavyovisema vilabu vivyo hivyo isemeni na Serikali.
Tatizo la uongozi wa Yanga limeletwa na waandishi,wachambuzi na mashabiki oya oya wanaopewa senti kusifia uozo wwte unaofanywa nao wajinga
Kwaiyo yanga ni sawa lakini simba mngechonga wajinga sana nyie na kwanini wawe na madeni kila siku kupambana vipi kwa kununua mechi
Hans umeingea point