Bod ya ligi hawajitambui kwan wanafanya maamuzi pasipo kufanya uchunguzi, ona sasa wameenda kumuhukumu mtu asiye kuwepo uwanjani je unawaweka katika mazingira gan
D
dimitrios_bonbach1 month, 3 weeks ago
Nilikutana ni hiyo adha ya Stewart Benjamin mkapa stadium,ticket zangu nlinunua za elf 30 ni mbili wakati naingia upande husika Stewart walinizuia na nikawambia ticket hizi scan uone walikataa na walinizuia na maneno ya hovyo wanaongea ila wakumbuke cc hatuwaogopi ila mda mwingine hatuhitaji marumbano lakini wao wanalazimisha migogoro viwanjan
diego_almeida1 month, 3 weeks ago
Wewe tiketi yako ni VIP B halafu unataka kwenda VIP A kufanya nini?
I
ianvoid391 month, 3 weeks ago
Sio alistaili bali amekubali adhabu kwasababu nimamlaka imeamuwa huo ujinga 2
diego_almeida1 month, 3 weeks ago
Mashabiki wa Simba wamefanya fujo wamerusha mpaka makopo lakn mbona hawajafungiwa
L
lauragallegos9371 month, 3 weeks ago
Anashindwa kutoa jibu kuwa walishindwa kuwa na recod ya matukio mnawezaje kumuhukumu mtu bila kumwuita ili aeleze ili tujuwe matatizo yapo wapi ili tutatuwe siyo kutoa azabu iyo siyo dawa ya kukuza soka fanyeni mambo ya msingi yenye kukuza soka letu na wao bodi ya ligi wakikosea nani awaazibu
joshuachen2821 month, 3 weeks ago
Yupo kwenye orodha ya wapiga kelele darasani siku ambayo hakwenda shuleni 😂😂
R
rodrigo.mendes1 month, 3 weeks ago
Mkule ki mahakama hapo hakuna adhabu. Ukikosea hata tarehe ya kosa inafuta uhalali wa kesi. Baraka karuka kwenda sehemu aliyostahili. Jez asingeruhusiwa angepata wapi haki yake.
B
brianmartin4401 month, 3 weeks ago
Shida kwanini wakuziwie wakati umelipia kihalali mtu amechelewa uwanjani alafu wewe unaenda kuhuchelewesha mpira unamzuka
Mpira wa kisasa ni mgumu. Kukosea kiti kuna adhabu!!!
danieladams6071 month, 3 weeks ago
Mashabiki wa yanga mazombi tu
S
silvia_garcía1 month, 3 weeks ago
Sioni kosa la fumau kwani pote 20000 kosa nikutokutenganisha bei
P
pietrawhisper211 month, 3 weeks ago
HAKUNA HAJA YA KUPEPESA MACHO TFF WAMEFANYA MAAMUZI KWA MIHEMKO NA KUKURUPUKA, TAARIFA YA VIINGILIO VYA MCHEZO ILIYOTOLEWA NA YANGA IMEELEZA MADARAJA NI MZUNGUKO MA VIP, HAKUNA MAHALI WAMETAJA VIP A WALA B, KAMA KIINGILIO CHA VIP NI KIMOJA HAKUNA SABABU YA KUMLAZIMISHA MAHALI PA KUKAA. KWENYE HILI TFF WAMEFELI SANA.
K
kimberlyechoing261 month, 3 weeks ago
Yanga akili hawana🤣🤣🤣🤣🤣
A
amanda.knight1 month, 3 weeks ago
Huyu mwalabu anajua sana jamaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
S
sarah.zuniga1 month, 3 weeks ago
Wajuaji sana mashabiki wa yanga
H
hortensepoirier4531 month, 3 weeks ago
Eti mil 11😂😂
R
rebecca_anderson1 month, 3 weeks ago
Kwanza huwatunakata tiketi ya10000 ila tunakaa VIP popote kwakuwa tunawapa pesa kama 300 wale wanaosimamia...ili tuvuke upandewapili..
S
suzannelloyd4761 month, 3 weeks ago
Hawa bodi hakuna mwenye akili na mawazo timamu ni wehu wote
Bod ya ligi hawajitambui kwan wanafanya maamuzi pasipo kufanya uchunguzi, ona sasa wameenda kumuhukumu mtu asiye kuwepo uwanjani je unawaweka katika mazingira gan
Nilikutana ni hiyo adha ya Stewart Benjamin mkapa stadium,ticket zangu nlinunua za elf 30 ni mbili wakati naingia upande husika Stewart walinizuia na nikawambia ticket hizi scan uone walikataa na walinizuia na maneno ya hovyo wanaongea ila wakumbuke cc hatuwaogopi ila mda mwingine hatuhitaji marumbano lakini wao wanalazimisha migogoro viwanjan
Wewe tiketi yako ni VIP B halafu unataka kwenda VIP A kufanya nini?
Sio alistaili bali amekubali adhabu kwasababu nimamlaka imeamuwa huo ujinga 2
Mashabiki wa Simba wamefanya fujo wamerusha mpaka makopo lakn mbona hawajafungiwa
Anashindwa kutoa jibu kuwa walishindwa kuwa na recod ya matukio mnawezaje kumuhukumu mtu bila kumwuita ili aeleze ili tujuwe matatizo yapo wapi ili tutatuwe siyo kutoa azabu iyo siyo dawa ya kukuza soka fanyeni mambo ya msingi yenye kukuza soka letu na wao bodi ya ligi wakikosea nani awaazibu
Yupo kwenye orodha ya wapiga kelele darasani siku ambayo hakwenda shuleni 😂😂
Mkule ki mahakama hapo hakuna adhabu. Ukikosea hata tarehe ya kosa inafuta uhalali wa kesi. Baraka karuka kwenda sehemu aliyostahili. Jez asingeruhusiwa angepata wapi haki yake.
Shida kwanini wakuziwie wakati umelipia kihalali mtu amechelewa uwanjani alafu wewe unaenda kuhuchelewesha mpira unamzuka
YULE BARAKA KASEMA HAKUWEPO ALIKUWA NYUMBANI, MBONA WEWE FAMAU UNAMJUMUISHA MWENZIO
Mpira wa kisasa ni mgumu. Kukosea kiti kuna adhabu!!!
Mashabiki wa yanga mazombi tu
Sioni kosa la fumau kwani pote 20000 kosa nikutokutenganisha bei
HAKUNA HAJA YA KUPEPESA MACHO TFF WAMEFANYA MAAMUZI KWA MIHEMKO NA KUKURUPUKA, TAARIFA YA VIINGILIO VYA MCHEZO ILIYOTOLEWA NA YANGA IMEELEZA MADARAJA NI MZUNGUKO MA VIP, HAKUNA MAHALI WAMETAJA VIP A WALA B, KAMA KIINGILIO CHA VIP NI KIMOJA HAKUNA SABABU YA KUMLAZIMISHA MAHALI PA KUKAA. KWENYE HILI TFF WAMEFELI SANA.
Yanga akili hawana🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu mwalabu anajua sana jamaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wajuaji sana mashabiki wa yanga
Eti mil 11😂😂
Kwanza huwatunakata tiketi ya10000 ila tunakaa VIP popote kwakuwa tunawapa pesa kama 300 wale wanaosimamia...ili tuvuke upandewapili..
Hawa bodi hakuna mwenye akili na mawazo timamu ni wehu wote