Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo leo Juni 11, 2026 amepanda ulingoni Abidjan Nchini Ivory Coast kuwania mkanda wa IBO katika pambano la round 12 dhidi ya Bondia Michel Soro raia wa Ivory Coast na Ufaransa. Mwakinyo katika pambano hilo la round 12 la uzito wa middleweight, amepoteza kwa kupigwa kwa TKO round ya 9 na kufanya pambano hilo kuwa pambano lake la tatu kuwahi kupoteza kwa KO. Hili linakuwa pambano la 4 kwa Hassan Mwakinyo, Moja akipigwa kwa point na matatu kwa KO. Michel Soro leo amepigana pambano lake la 45, amefanikiwa kushinda kwa KO kwa mara ya 28, akipoteza mara 4 na ametoka sare mara 2.
ADVERTISEMENT
Sema huy jamaa anakilo nyingi San hat hivy Mwakinyo kajitahid ingekuw mtu mnyonge angeishia round y 3 lakin champez ameend mpk round 9
Chakula hamnaaa
Ahh duh pole yake mwanetu
Umekutanishwa leo😅😅😅
Ukirudia kuangalia fight unaona kabisa jamaa kilo kama nyingi japokua huenda ni sawa Lkn Mwakinyo kajitahidi akisema rematch kazi itakuwepo!
Mwakinyo😂 akuna bondia makelele tu
Punguzeni Kukabana Kabana Pambaneni Kwa Nafas
Kagongwa
Pambano Lilikuw la moto🔥
Mwa kinyo ya me mkutaa sio kiA ziii 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama ni mpila ni Arsenal na psg. Mwakinyo kapigana kwa uoga sana unaona kabisa sasaivi anapigwa K. O
Tumepoteza lkn kiume
Umetuwakirisha kamataifa usifemoyo miminakuombeya utatufikishambari
Halafu kigezo Cha uzito hakikuzingatiwa maana naona mwakinyo kilo stini jamaa yupo kwenye 90 Sasa ilikuwaje heavy weight na light weight au
Ma neno mengi mwakinyooo😂😂😂😂😂😂😂