TAZAMA MWAKINYO ALIVYOPIGIKA KWA TKO IVORY COAST
ADVERTISEMENT
Comments 100
sherrybaker792:
It is a game kuna kushinda na kupoteza
More Like This
25:55
KABWE AIBUKIA SAKATA LA NEO MAEMA KUMALIZANA NA SIMBA
Sports
97
10
0:30
Ronaldo Joined Her Celebration 🥹
Sports
6.5k
71
0:22
Sha'Carri Richardson's Boyfriend Reaction Was PRICELESS! ❤️🇺🇸
Sports
14.3k
0
2:46
A Random Guy Sitting In The Crowd Actually Got Pulled Up To Fight And It Was Wild😳
Sports
18.9k
100
0:27
Darwin Names his KING of Liverpool 👀👑
Sports
4.6k
0
0:41
The most naturally talented player Scholes played with... 😍
Sports
815
23
0:30
So good. #nfl #football #viral #superbowl #cfb
Sports
154.9k
0
0:14
Bisiwu ➡️ Casadó ➡️ Adeyemi #fcbarcelona #shorts
Sports
23.9k
100
You've reached the end
It is a game kuna kushinda na kupoteza
Siyo mbaya kuna kushinda na kushindwa.
Hongera champez pia umepambana sana kupoteza ni kawaida kwani machampion wakubwa duniani Mbona wanapoteza so Bado upo vizur na pia ulisha shinda mara kibao hongera mkuu
Tanzania nchi yangu yenye watu wanafiki wengi hukusubilia pale unaposhindwa waongee wanachoona sw ktk ufaamubwao wa akili ila ni uduni wa Psychology analysis
Acheze ngumi aache mitandao inampumbaza
Laund 9 ciyo mchezo na hongera Sana faita najua umepambana na wanafik wengi tz
Aliekuwa anapewa wazee kwenye fight zake leo kapewa kijana 😂😂
Munasemaga watu huwa anawapanga...leo cjui mtasemaje
Taifa star inapigwa kila siku sembuse mwakinyo😅😅😅😅
Jamaa yupo vizuri sana
Na angeshinda uyu 😂😂😂ogopa sana mtu mwenye kipara
Tujitahidi sanaa kumpa moyo jamaa pia na wale wote ambao wanakwenda kupigana nje ya nchi, tuache Majungu na dharau linapokuja jambo la kitaifa
Mbona kachezewa faulo hvyo halafu refa katulia tu ,sio poa
Apgwe 2
Amevimba sana mwakinyo😢😢😢
Hongera champez 🎉, kawaida
Bondia wangu pendwa " champez" kachapika , but l still love him'
Anasifa sana 😂😂😂😂😂
Alisema atambunda jamaa hatomaliza round kumbe kabundwa yeye tko😂
Pole kwa Mwakinyo!! Bado ni Bondia mzr ila Mabondia wetu wasiamini kwenye uchawi wafanye mazoezii kwa bidiii. 😭😭😭