HASSAN MWAKINYO APIGWA KNOCK OUT ROUND YA 9 NA MICHEL SORO WA IVORY COAST
ADVERTISEMENT
Comments 100
lakshmiatlas43:
Nina mashaka na uzito wao
More Like This
25:55
KABWE AIBUKIA SAKATA LA NEO MAEMA KUMALIZANA NA SIMBA
Sports
97
10
0:30
Ronaldo Joined Her Celebration 🥹
Sports
6.5k
71
0:22
Sha'Carri Richardson's Boyfriend Reaction Was PRICELESS! ❤️🇺🇸
Sports
14.3k
0
2:46
A Random Guy Sitting In The Crowd Actually Got Pulled Up To Fight And It Was Wild😳
Sports
18.9k
100
0:27
Darwin Names his KING of Liverpool 👀👑
Sports
4.6k
0
0:41
The most naturally talented player Scholes played with... 😍
Sports
815
23
0:30
So good. #nfl #football #viral #superbowl #cfb
Sports
154.9k
0
0:14
Bisiwu ➡️ Casadó ➡️ Adeyemi #fcbarcelona #shorts
Sports
23.9k
100
You've reached the end
Nina mashaka na uzito wao
Nimegundua mwakinyo anapewa mabondia wazee na mateja ndo mana anashinda huyu ndo bondia sasa dadeki
Congratulations 🎊 Hassan Mwakinyo kwaku wakilisha East Africa here in Kenya you made us proud,ee Wa Bongo pungu zeni Uwivu dah
😂😂😂😂😂😂 jamaa mwenyekiti tu sema mwakinyo sio bondia
Watanzania Tuelewe Ukufuatilia aina Ya Upiganaji wa Mwakinyo Akikutana na watu kama.hawa wa Southpore wenye speed kali hawez kushinda Tukimuangalia Ibrahim Classuc kama angekuwa.na weight kubwa basi Mwakinyo angelala.kwake ijapokuwa jamaa ni weight kubwa snaa
Kamdomo kwisha😮😮
Jina jenyewe soro we huogopi
Mwakinyo kazidiwa kila kitu
Uyu jamaa anajua sana
Huyo maneno tu 😂😂😂
Majisifa yote yameisha domo kubwa kama k
Ila uzito ni tofauti Kwa mwonekano
Asingizie ameibiwa viatu Tena Bongo anabebwa sana nje watu wanajibondea tu!
Wakiwa home huwa wanabebwa sana na huwa wanaletewa mabondia ndizindizi Leo kapigwa kama mtoto niwashauri tu bondia wa Tanzania musitoke nje ya tz kupigana maana majaji wa nje hawalei
Pesa ya moto alikua anamsema kiduku
kumbe tanzania tuko na safari ndefu kwa kila kitu
Weight, weight!! Weight😢😢😢😢😢
Akafuge mbwa hiyo ndo anaweza
Kamdomo😅😅😅😅uwiiiii
Huyo Jamaa kampiga mwenzake sikioni kitu ambacho hata kwa kawaida lazima uyumbe