©TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA --------------------------------------------------------------------------------- JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM APA: REPORT TO US If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest. COPYRIGHT VIOLATION For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us [email protected] Welcome to REAL in the right place, by accessing Entertainment, Fashion and Sports news from within and outside the borders of Tanzania, our goal is to provide you with reliable and accurate information. Please click the SUBSCRIBE button to become a family member of this channel
ADVERTISEMENT
Nimemfuatilia, ana jicho la goli kweli, lakini siyo mshambuliaji tishio
" Chambueni namba za mayele wakati anaingiya mlisema ivo ivo wakawaida sanaaaaaa' Leoo hiii yupo huko mnamwaga Sifa kede kede aliwakiaa hapa hapa Yanga sc
Naiyona nema kwa ke
Faisal ulisemaje?
Najiuliza kwanini depu anaondoka hii tayali yanga kunatatizo kubwa sana ndani yake kwasababu depu kaaza vizuri sana lakn tangu aumie kalejea akiwa chini sana. Ndo sababu nasema yanga kunatatizo
Mayele alivyo kuja alikuwa na lekodi gani? Mala nyingi usajili huwa ni kubeti mnasikia nyinyi wachambua m Chicha?
Mh hili jina wanayanga mbona kaz tunayo kulitamka😂😂😂
Katalambula Ns Mwenzio Ni Wachambuzi Wa Kawaida Sana..
Ebana....ebana....ebana.....ndio opening remarks kwan hakuna namna nyingine?
Tumieni akili mda mwingine, Kuna muda mchezaji mwenye goli 10 ,akienda team yenye viungo wazuri wa kumlisha mipira akakupa 15 plus ndan ya Msimu mmoja ..." Wachambuzi wengi msio wahi kucheza mpiraa mnarahisisha sana mpira"😂😂😂
Buba ja hakupewa nafasi ni mchezaji mzuri
Ww sio mchambuzi huna takwimu katalambula huyo mchezaji ana muda gani hapo policy kenya?