Mwamuzi wa kwanza wa Fifa kutoka Somalia azuiwa kuingia Marekani
ADVERTISEMENT
Comments 17
agathe_prévost:
Nchi ya kipuuzi sana sasa hiyo ni safari ya kimichezo au ni…
More Like This
10:07
BARAKA YANGA "JEZI MPYA YANGA INAMSAJILI FEI TOTO NA MISHAHARA YA SIMBA !!! SIMBA WALIZINDUA KANGA
Sports
128
0
2:03:21
#LIVE: DROO YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA NA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA (CAFCL NA CAFCC)
Sports
263
0
8:40
TOBAA! SHABIKI WA SIMBA AFIKA JANGWANI KUNUNUA JEZI/ AUSIFIA UZI WA YANGA NI BORA ZAIDI
Sports
135
0
7:48
KUMEKUCHA! BARAKA YANGA APAGAWA na UZI MPYA wa YANGA JANGWANI -AWAPIGA KIJEMBE SIMBA -"TUNAANZA NAO"
Sports
111
0
17:26
MBWADUKE: BHAAASI! YANGA WANATAKA IWE MAMELODI? / FEITOTO NI KAMA ALLENDE
Sports
88
0
0:11
FEISAL ATOA UJUMBE MZITO HUU SASA NDIO NAMBA 6 WA YANGA
Sports
218
0
2:59:09
JAYRUTTY ANAUNGURUMA CROWN SPORTS, ANAMWAGA KILA KITU/ YANGA YAJA KIBABE UPANDE WA JEZI/ NEO MAEMA.
Sports
661
0
56:05
ALLY KAMWE AMTAMBULISHA FEISAL NA JEZI MPYA ZA YANGA/ YANGA YA MWAKA HUU ITACHUKUA KLABU BINGWA
Sports
405
0
You've reached the end
Nchi ya kipuuzi sana sasa hiyo ni safari ya kimichezo au ni safari ya kisiasa
Yaani hii dunia haipo sawa.
Mbona sababu haisemwi?
Pale Taifa lakigaidi linapoandaa kombe la dunia
😭😭😭😭 huu ni undumilakuwili unaokandamiza haki za watu bila kujali utu na uadilifu.
BBC mna semeje je ni haki mtu jibu kutoka kwenu swali kwenu
Pale Taifa lakigaidi linapoandaa kombe la dunia
BRAVO ARTAN❤💪💪
Kwa kweli Tumechoka na Marekani.. Dunia imechoka na America 😢😢😢
Ni upuuzi tu huoo,sema riziki anatoa Mungu kwahiyo mwanadam akiziba huku Mungu anafungua mafuriko ya baraka kule,Mungu ambariki tu na kumlinda yeye na familia yake
Na timu za afrika zigome kwenda kucheza marekani
Kisa nn
MBONA SABABU HAITAJWI...KWANI BBC VIP
LOLOTE ANALOFANYA MAREKANI KWA WALIOBAKI NDIO MUONGOZO SAHIHI USIOHOJIWA LABDA MBELE YA IRAN.
❤
Kwani kuingia marekani ndio nini ujute kwamba hautakuja kuwa mtu wa peponi hapo ndio umeangamia lakini kuingia marekani😂😂😂upuuzi tu
kwahiyo BBC na ukubwa wenu hamjadukua sababu au ndo mmeanza kuwa media uchwara kwa USA