YANGA SC & AZAM FC ZAGOMA KUACHIA WACHEZAJI WAO KUJIUNGA NA KAMBI YA ZANZIBAR HEROES/ LIGI YA NBC INAREJEA KWA KISHINDO/ YANGA & SIMBA VITA YA UBINGWA.
Sign in to join the conversation
Jofreya mbishi toka yupo efm mbishi balaaa
Hans yuko sahihi, ita hao vijana timu ya taifa ya vijana.
YESU SIO MUNGU IKIWA YESU ALIFANYIWA FEDHEHA KISHA AKASULUBIWA HALAFU AKACHOMWA MOTO SWALI LINAKUJA JE MUNGU ANAWEZA KUFANYIWA YOTE HAYO↘↘↘↘↘↘↘↘↘
😮😮😮😮😮
TANZANIAN ligi yetu ni ya waandishi wa habr mitandao ya kijamii maneno mengi sna rkn ukweli hakuna kitu
Kenya watatupiga take kimpira sisi tunapenda wachezaji wa kigeni hatuwezi kupata maendeleo ya mpira
Siokidogo nikikubwa sana
Mpaka hiyo issue ya La Massia inatiki it's a big deal!! congole sana TZ.
huyo Rasta kanifurahisha sana minapenda ndugu zetu Zanzibar wawe Jimbo ktk Tanzania yaani itakua mnzwa!!
Nakuombeni mnapotaka kuzungumzia zanzibar zungumzeni kimichezo msiingie kwenye kisiasa tafadhalini sana
Sema we jamaa Baba wa mtoto huyo big up una akili sana!!
EURO 30000 NI Shilingi 90,384,000 TZS KWA MWAKA 😂😂😂😂😂😂😂. WAKUU TUTAFUTE ELA😂😂😂😂
Zanzibar ni nchi hai kabisa lakini Tanganyika haipo tena. Zanzibar wanajitambua sana.
Hiko kiwango Hans anataja nikikubwa, na sio wewe tu but ni watu wengi Bongo
Jofreya mbishi toka yupo efm mbishi balaaa
Hans yuko sahihi, ita hao vijana timu ya taifa ya vijana.
YESU SIO MUNGU IKIWA YESU ALIFANYIWA FEDHEHA KISHA AKASULUBIWA HALAFU AKACHOMWA MOTO SWALI LINAKUJA JE MUNGU ANAWEZA KUFANYIWA YOTE HAYO↘↘↘↘↘↘↘↘↘
😮😮😮😮😮
TANZANIAN ligi yetu ni ya waandishi wa habr mitandao ya kijamii maneno mengi sna rkn ukweli hakuna kitu
Kenya watatupiga take kimpira sisi tunapenda wachezaji wa kigeni hatuwezi kupata maendeleo ya mpira
Siokidogo nikikubwa sana
Mpaka hiyo issue ya La Massia inatiki it's a big deal!! congole sana TZ.
huyo Rasta kanifurahisha sana minapenda ndugu zetu Zanzibar wawe Jimbo ktk Tanzania yaani itakua mnzwa!!
Nakuombeni mnapotaka kuzungumzia zanzibar zungumzeni kimichezo msiingie kwenye kisiasa tafadhalini sana
Sema we jamaa Baba wa mtoto huyo big up una akili sana!!
EURO 30000 NI Shilingi 90,384,000 TZS KWA MWAKA 😂😂😂😂😂😂😂. WAKUU TUTAFUTE ELA😂😂😂😂
Zanzibar ni nchi hai kabisa lakini Tanganyika haipo tena. Zanzibar wanajitambua sana.
Hiko kiwango Hans anataja nikikubwa, na sio wewe tu but ni watu wengi Bongo