JE MCHEZAJI GANI ANASAJILIWA YANGA SAFARI HII?/MSIKIE ALLY KAMWE
ADVERTISEMENT
Comments 26
victoire.lucas:
Mie naona wanayanga tusizungumzie usajili mpaka tumalize li…
More Like This
5:42
FEISAL SALUM KUTAMBULISHWA WIKI YA MWANANCHI? ALLY KAMWE ATOA TAARIFA MPYA YANGA MUDA HUU
Sports
215
0
2:19:28
🔴LIVE: WATCH SHAWA AND CHICKEN CHICKEN CORPORATE BOXING AT SUPREMACY LOUNGE NAKULABYE
Sports
548
10
4:04:59
HAPPENING NOW:CHICKEN CHICKEN NE SHAWA BOXING FIGHT LIVE AT SUPREMACY LOUNGE NANKULABYE"OLI TEAM KI?
Sports
2.8k
0
5:30:26
Saratoga Live - Thursday August 6, 2026
Sports
1.1k
0
8:31:45
Caymanas Park Jamaica | Thursday, August 6, 2026
Sports
436
0
0:14
😂😂 (via MLB/TT)
Sports
82.4k
0
0:11
Roy Keane vs Stefan Effenberg Was War
Sports
280
21
0:16
yamal’s turn now😭🙏
Sports
10.7k
73
You've reached the end
Mie naona wanayanga tusizungumzie usajili mpaka tumalize ligi ushauri wangu ndo huo wasitutoe kwe njia
Mm c0 msemsji kiongoz akija mugidha nitafurah sans😊
Aamina Inshaallah
mimi naomba uongozi wa yanga kutosikiliza kelele za wanao oji kuhusu ujenzi wa uwanja fanyeni mambo yenu kimya kimya wasije kumuuzi boss wetu rais wetu alafu kingine wanayanga tuacheni kufatilia mambo ya simba tudili na yetu uko atuna faida nako asanteni daima mbele nyuma mwiko
Jamani kocha aletwe anae endana na farsafa yetu
Tuletee Jean Claude Girumugisha from Al hilal itakuwa unyama sana!
Mimi namwomba Injinia afanye kama alivyofanya kwa okero,atuletee Girumugisha na hata akitaka tuchange kumleta, leta number ya malipo tumlipe hera ya usijiri , kuhusu kuisapoti Yanga SC ondoa shaka kuhusu hilo,tunaipenda Yanga yetu
Mi nawatakia Kilalakheir na mafanikio kwenye michezo yote Inshaallah
Yanga bingwa 🏆
💚💛🔥🔥🔥💛💚🙏🙏
insha'Allah tutashinda zoteee
Ikawe kheri Kwa hatua ewe mw mng tunakuomba utujaalie tuweze kushinda mechi zilizobaki na kutetea ubingwa wetu🙏
Focus na ubingwa au michezo iliyobakia mambo ya usajili acheneni nayo. Kama mtasajili basi tafuteni hata wachezaji watatu wa moto badala ya kusajili idadi kubwa isiyo na ufanisi
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nani huyo amepungua kilo 7 ali acha kamba😃🤣🤣
💚💛💚💛💚💛💚💛
Tunaomba msisajili tu tunaka msajili wachezaji wachache lakin wawe wa moto na wanaokua ndani na njee vieango viwe sawa
mm ni mwananchi lkn nimeota tumefungwa mechi moja. hebu uongozi na wazee mlio jikoni mfanye kila liwezekanalo hata fitna/wanga nuksi hii isiwe sahihi. -Hyderabad
MKAFANYE USAJILI,,,MAGALASHA MENGI SANA HII TIMU,,,,,,INA MIZIGO MINGI HAINA FAIDA YEYOTE INAKULA MSHAHARA BURE
🔥🔥🔥🔥💚💚💛💛💛🔰🔰🔰🙏🏽