Katika nyakati za zamani ambapo haki ilikuwa sauti dhaifu na nguvu ya mtu ilipimwa kwa ujasiri wake, alizaliwa mtu ambaye maisha yake yaligeuka kuwa mapambano yasiyo na mwisho. Baada ya kupoteza kila kitu alichokiamini, MWAMWINDI analazimika kupambana na maadui, usaliti na majeraha ya zamani yaliyomfuata kwa miaka mingi. Kati ya vumbi la mashamba, migogoro ya kijamii na vita vya ndani ya nafsi yake, anaanza safari ya kutafuta ukweli na haki ambayo wengi waliamini imepotea milele. Hii ni simulizi ya ujasiri, maumivu, uvumilivu na mapambano ya mwanadamu anayekataa kukubali kushindwa. Dhuluma. Usaliti. Hasara. Na Kisasi. Mwisho ni mmoja. - MWAMWINDI Filamu ya kihistoria yenye mguso wa miaka ya 1971, ikileta simulizi nzito ya maisha, mapambano na haki. #mwamwindi #swahilimovie #tanzaniamovies #africancinema #historicaldrama #cinemaitambe
ADVERTISEMENT
Anayesema gabo hana mpinzani gonga like kazi nzuri
Hii imeenda na itaenda kubadilisha mtazamo wa saana ya uigizaji kwa ujumla kutoka filamu za mapenzi.Tuna visa vingi na vya kweli lakini wasanii wetu wamekua wazito kufanya sana kwa njia iyo kupitia Gabo zigamba anakuja kuamsha tasnia na kuipeleka mbele zaidi tupo pamoja nasubiri move itoke tupo pamoja nipo Riyadh Saudi Arabia
Wahehe wote like hapa gabo karud nyumbn 🎉
Huyu jamaa anajua mpaka amepitiliza, hizi ndiyo movie tunazozitaka, uhalisia wa maisha yetu pamoja na tamaduni zetu, RESPECT SANA GABO 👊 GONGA LIKE....
Gabo! Gabo! Gabo! Bora umeamua kuja kitofauti....sio lazima muigize maisha ya watu wa tamaduni nyingine za mbali wakati tuna historia nzuri t na mashujaa wetu. Moja ya KAZI Bora sana hii. ❤️❤️❤️
Hatutakiw Kukupima Na Wengine.. Ila Tutakupima Kwa Gabo Mmakonde, Gabo Mmasai, Gabo Mzanzibar na Sasa Gabo Mnyalu.. Wewe Ni Best Mwamwindi
Wahehe tukusanyike hapa like km zote Kwa heshima ya Gabo
tunahitaji Movie zinazo onyesha uhalisia wa Watanzania kama hii. { Hongera sana}
Wa kwanza leoo naombeni like zangu🎉
aseee alioangaliaa hi move mara mbili gonga like hapa Gabo ni mmojaaa tuuuuui
MSANII MMOJA TU TANZANIA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🌍🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. GABO ZIGAMBA🔥🔥🔥🔥
Hehe traditional thanks Gabo kwakuitangaza iringa💥
Zanzibar ulifanya poa sana mawio,,Mwanza bakora na sasa iringa mwamwindi aseee big up sana kaka Tanzania kwanza saluteeee
Sasa Gabo ee baba unaonaje ukifanya mpango ikawa ni filam ndefu ee baba, story nzuri hii
Umejua kutu heshimisha sana wa hehe tumwage motoo mwingi ,👋👋👋👋👋👋👋
According to myself, Mr Zigamba is The Best Tanzanian actor of all time.
Tulliokuja kutoka kwa roma #h🎉
Daah😢😢 wahehe dharau hatujawahi kuvumiliagaa Kaka umeweza bhnaa
Aya sasa all from iringa let's gather here
Hata ingekuwa ni mimi ningemchekecha sana😭