Burudani imerejea rasmi! Baada ya subira ya muda mrefu, msimu mpya wa tamthilia unayoipenda ya Ashura Kiuno Season 2 umerudi ukiwa na nguvu mpya, visa vya kusisimua, na majibu ya maswali yote yaliyobaki kwenye msimu uliopita. Kwenye episode hii, mambo yanabadilika kabisa na kukua kwa kasi. Je, Ashura atafanikiwa kuvuka mawimbi haya mapya? Ungana na timu nzima ya waigizaji wakali na vipaji vipya vilivyoshirikishwa msimu huu kukuletea burudani halisi ya Kitanzania. Usisahau KUSUBSCRIBE, kulike, kucomment na kushare na washkaji ili usipitwe na mwendelezo wa tamthilia hii tamu! #AshuraKiunoSeason2 #SwahiliMovies #Tamthilia #BongoFilamu #TeamDoko #TrendingTanzania #ShortFilm2026 #Burudani #FilamuZaKiswahili #ComedyTanzania
ADVERTISEMENT
"Asanteni sana kwa kuendelea kuwa nasi TEAM DOKO! 🙌 Hapa ndipo safari inapoanzia. Ulizajia nini kitatokea kwenye hii Episode ya kwanza? Na unahisi nini kinafuata? Dondosha comment yako hapa chini, ninaandika majibu yenu sasa hivi! 👇🔥" Hii itakuwa kila baada ya siku mbili inatoka Muda Saa Kumi Ahsanteni ❤🎉
Anae amini mtoto wa abiba yut ai ni WA doko gonga like hapa
Munachelewesha kinoma noma
Kubwaaaaaaa💃💃💃
Tuliwa misss kweli
Yaani nimefurahy kinoma kuona ashura kiuno🥰🥰🥰🥰🥰🥰
ongera san kazi nnzur❤❤❤
Safi sana mapema tu na tupo live master woye mjengoni picha linaanza tu kichwa ududu yupo jorging 🫡🫡😂😂😂😂
Uyo stati karudi uyo ndio anafaa afu handsome 😂😂😂❤❤❤ statiiii nipo hapa
tuko pamoja kaka 🥰🥰🥰🥰
TEAM MBINDE & DOKO & BAGA & ZUNGU NA KAMOTE WEKA LIKE TUJUANE ASHURA KIUNO S2 A.K SHATTI🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🫶
Ila kichwa ududu bana unatisha sana mzee baba izooo 🫡🫡🫡🫡🫡
From Kenya.Kazi nzuri zaidi
Ashura kiuno
Kamote na mshkaji wake sasa akili mbili uko😅
Doko nakubali Tunapenda Ashura kiuno natoka Burundi 🎉🎉🎉
Doko kakukubali kazi safi boss juzi tu umemaliza series ya inua mikino ju gafla ushatoa episode ingine kali ila ungeipea jina shati sio ashura kiuno ila iko sawa shabiki yako mkubwa kutoka Kenya❤
Aisee shati umetisha Sana kwanzia leo mimi ni shabiki yako namba moja hakika wewe ni star ❤ ❤ ❤❤❤❤❤ miaka mia hongera sana
Jamani uyo shati nampenda fundi mnooooo❤❤❤❤❤❤❤
Ola waze angaria nutup nyingine episode waze kazi njem