Huyu mzee magoma ni kiongozi mzuri sana ipo siku ataichukua yanga ana akili ya mpira
A
aimée.foucher2 months ago
Mzee mwenye hakili yanga anaye jitambuwa
D
davimiguel_silveira2 months ago
Miongoni mwa wana yanga wachache wenye akili🎉🎉🎉
R
rosaaltamirano4672 months ago
Mambo mengine hayana mantiki yoyote, baada yakujadili maendeleo mnajadili kitu ambacho ata hakina faida yoyote. Uyo unae muhoji njaa tupu,amenyimwa 10% sasa amebakia na chuki tu, sembe lake linamshinda ataweza kuiendesha klabu? Miaka mingapi walikuwepo hapo waliujenga uwanja walau wa mazoezi?
S
sherrybaker7922 months ago
Ni mzee mwenye akili peke yake ndani ya timu ya yanga
N
naksh_chaudhry2 months ago
Ipo siku huyu mzee watamuelewa tu waache wajitoe fahamu ila goma man ni akili nyingi sanaaa
charansarna1172 months ago
Kwani hilo bassi la Simba linatuhusu nn Yanga ?
severin.geisel2 months ago
Utopolo wamechanganyikiwa baada ya kuona simba inapata mafanikio ya haraka na basi zuri wao hawana wanateseka na wataendelea kuteseka naona watajinyonga sana mara hiii
S
stéphane_lagarde1 month, 4 weeks ago
Yeye mwenjewe ni chawa mzeee hatukpi ata kazi ya kufangia ofisi chiizii huyooo
anel.valdez1 month, 4 weeks ago
Huo ndio ukweli mzee magoma huyo chawa kamwemwe
D
dawn_horton2 months ago
Kwani mwandishi au
taylorsmith9241 month, 4 weeks ago
Mbona ni Utani tu hicho Kizee kinachukulia serious
R
rebecca.jordan2 months ago
😂😂😂😂
J
jeremy.mcintyre2 months ago
Nyie wajinga ndo mtamuelewa kwa vile wote ni wehu😅😅😅.
Huyu mzee magoma ni kiongozi mzuri sana ipo siku ataichukua yanga ana akili ya mpira
Mzee mwenye hakili yanga anaye jitambuwa
Miongoni mwa wana yanga wachache wenye akili🎉🎉🎉
Mambo mengine hayana mantiki yoyote, baada yakujadili maendeleo mnajadili kitu ambacho ata hakina faida yoyote. Uyo unae muhoji njaa tupu,amenyimwa 10% sasa amebakia na chuki tu, sembe lake linamshinda ataweza kuiendesha klabu? Miaka mingapi walikuwepo hapo waliujenga uwanja walau wa mazoezi?
Ni mzee mwenye akili peke yake ndani ya timu ya yanga
Ipo siku huyu mzee watamuelewa tu waache wajitoe fahamu ila goma man ni akili nyingi sanaaa
Kwani hilo bassi la Simba linatuhusu nn Yanga ?
Utopolo wamechanganyikiwa baada ya kuona simba inapata mafanikio ya haraka na basi zuri wao hawana wanateseka na wataendelea kuteseka naona watajinyonga sana mara hiii
Yeye mwenjewe ni chawa mzeee hatukpi ata kazi ya kufangia ofisi chiizii huyooo
Huo ndio ukweli mzee magoma huyo chawa kamwemwe
Kwani mwandishi au
Mbona ni Utani tu hicho Kizee kinachukulia serious
😂😂😂😂
Nyie wajinga ndo mtamuelewa kwa vile wote ni wehu😅😅😅.