©TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA --------------------------------------------------------------------------------- JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM APA: REPORT TO US If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest. COPYRIGHT VIOLATION For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us [email protected] Welcome to REAL in the right place, by accessing Entertainment, Fashion and Sports news from within and outside the borders of Tanzania, our goal is to provide you with reliable and accurate information. Please click the SUBSCRIBE button to become a family member of this channel
ADVERTISEMENT
Kwa mtaalamu yeyote wa soka Feisal hatoshi Yanga kwa kuwa ina wachezaji mahiri wa namba yake (10 au 8 - Pacome, Max, Mudathir, Okello). Yanga inahitaji Namba 6 mwenye uwezo kuliko Aucho kusaidiana na Duke
Kichwa Cha habari kinavutia sana lakin ukiisikiliza sasa unajikuta ushakasirika
Hivi ni kwa nini u-tube mnaruhusu uchafu huuu mwingi? mnatukera wateja wenu kutuletea swaga, yaani taarifa nyingi humu ni feck, kwa nini msitafute kazi zingine halali za kiuchumi badala ya kusomba taarifa takataka mnajaza humu? mbona mnasombasomba mitaarifa ya hovyo hovyooo?
Ata mwaka jana mlijigamba hivyo hivyo shida yenu mle tu bando zetu
Online media buana
Chanel za uongo naanza kufuta moja moja, nitabaki na Yanga TV. Basii. Acheni uongo
Mumezidi kutupa taarifa za uongoo
Fei yeye abaki azam sisi yanga hatumuwazii
Alafu FEI sio shiida zetu acheni hizo story
Anaenda TIMU YENYE UWANJA WA KISASA SIO TIMU YENYE UWANJA WA SHULE YA MSINGI?
Hivi mtaendelea na uongo mpaka lini
Kweli fey ameyenda yanga
Hiki kituo sijui ndo Salamba, mwaka mmoja au zaidi kidogo, kilikuwa chanzo na kotovu cha taarifa nyeti na tathmini yakinifu. Lakini sasa hivi ni kama sera ni zalisha taarifa kadiri inavyowezekana na kadiri muda unavyoruhusu na tupia huko. Na Lugano Kawa sehemu ya kituo!! Hakuna weledi tena!